Msc Finance and Accounting


Aaaaa pole sana ndio najivunia mtoto wa manzese na huko ughaibuni unaporingia nakuja kula dinner tea mashariki ya mbali.
wamanzese mwenzangu aaaa eti nsikulaumu wewe niwalaumu wazazi wazazi wako nawapa pongezi ila wewe :thumbdown: sababu elimu yako haijakukomboa bado una doridori za watoto wa nursery.
 
Tafuta prospectus uangalie masomo kwa undani halafu jipime.
 

U p u p u mtupu ulio andika!
 
Postgraduate ni couese yoyote inayosomwa baada ya degree ya kwanza ambayo iko speciaized na field fulani na kwa kuzingatia study hours au muda maalum. Hata hivyo mara nyingi ikitamkwa postgraduate wanamaanisha postgraduate dipma au postgraduate certificate. Hicho chuo chako wana postgraduate certificate system. Ni ajabu hata chuo chako hukijui! Shabash!!!!!!
 

Nimesoma pale miak 4 then nirudi tena kwa miaka 2 SIJAWAHI sikia kitu kama hicho!

Anyway KUTOSIKIA haina maana kama ndiyo haipo!Unweza nipa japo link ya chuo hicho inayo onyesha kama wanatoa post graduate ndugu yangu Mipangomingi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…