MSD yaelezea vifaa vya kisasa ilivyonunua ikiwemo vya kupima maini, damu na figo zinavyofanya kazi mwilini

MSD yaelezea vifaa vya kisasa ilivyonunua ikiwemo vya kupima maini, damu na figo zinavyofanya kazi mwilini

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Mavere Tukai

Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Mavere Tukai anafafanua kuhusu utendaji wa Bohari ya Dawa (MSD) kuhusu ilivyojipanga katika kutoa huduma ikiwemo kuongeza wataalam wa afya na kununua vifaa.

Amesema MSD imeendelea kufanya Maboresho na mageuzi upande wa huduma za kichunguzi na maabara nchini, kwa kuleta vifaa tiba vya kisasa, vyenye kutumia teknolojia ya kisasa ili kuenenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia ulimwenguni.

Ameeleza kuwa maboresho haya yamefanyika kwenye ngazi zote za vituo vya kutolea huduma za afya nchini, kuanzia vituo vya afya vya msingi hadi Hospitali za kitaifa.
 
Hongereni sana, ila vifanye kazi sasa visiwe vya mchongo
 
Back
Top Bottom