Msemaji kama Msemaji katika ubora

Msemaji kama Msemaji katika ubora

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848

Wakati nyie mnaparurana huko, sisi kama sisi huwa tupo peace and love na huwa tunapongezana pia kusaidiana mbinu pale inapohitajika. Haya ya kuchukiana tunawaachieni nyie mnaotoa viingilio.
 
Alikuwa anaizungumzia timu yake ya Arsenal.
 
View attachment 2612928
Walati nyie mnaparurana huko, sisi kama sisi huwa tupo peace and l9ve na h7wa tunapongezana pia kysaidiana mbinu pale inapohitajika. Haya ya kuchukiana tunawaachieni nyie mnaotoa viingilio
Jifunze kuhariri kazi zako. Kuna aina ya makosa ya kiuandishi, hata kama kuna hoja msingi, mtoa mada huonekana kama yule mzee wa "itapendeza".

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom