Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YEYOTE KATI YA WALE WASALITIWakuu heshima kwenu!
Bila kuwa chosha ninaomba kujua Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Bunge letu la sasa. Nina barua ambayo inapaswa kumfikia.
Ninaomba msaada wa kumfahamu niweze kumfikishia.
Idondoshe hapa ataipata ASAPWakuu heshima kwenu!
Bila kuwa chosha ninaomba kujua Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Bunge letu la sasa. Nina barua ambayo inapaswa kumfikia.
Ninaomba msaada wa kumfahamu niweze kumfikishia.
Mkuu wa Kambu ya Upinzani alikuwa na Mhe. Haikaeli Mbowe Mbuge wa Hai, akiwa na Wabunge 93 alioachiwa na Mgombea Lowassa (bilionea aliyenunua chams) na Katibu Mkuu Dr Slaa (aliyekata kuuzwa chama).Wakuu heshima kwenu!
Bila kuwa chosha ninaomba kujua Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Bunge letu la sasa. Nina barua ambayo inapaswa kumfikia.
Ninaomba msaada wa kumfahamu niweze kumfikishia.
Halima MdeeWakuu heshima kwenu!
Bila kuwa chosha ninaomba kujua Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Bunge letu la sasa. Nina barua ambayo inapaswa kumfikia.
Ninaomba msaada wa kumfahamu niweze kumfikishia.
ila mamayenu ndo afuje hela etiii, mamayenu amekopa sana hadi madeni yamemwelemea au hujui.Mkuu wa Kambu ya Upinzani alikuwa na Mhe. Haikaeli Mbowe Mbuge wa Hai, akiwa na Wabunge 93 alioachiwa na Mgombea Lowassa (bilionea aliyenunua chams) na Katibu Mkuu Dr Slaa (aliyekata kuuzwa chama).
Wakaamua kuonja sumu kwa kujipima kutuletea mgombea fresh, hana upole wa Lowassa wala hekima za Dr Slaa, anaitwa Tundu Lissu amesheheni zaidi matusi na ugomvi.
Sumu haionjwi. Wabunge 97 wakaporomoka akabaki mmoja tena wala si Mchagga ingawa Wachagga wabunge wazalendo walukuwa wengi tu upande wa Chama Tawala.
Wakapata na Wabunge 19 vitimaalum (walikuwa tayari washateuliwa majina yako Tume ya Uchaguzi), wakaona washikaji wa Mbowe na Tundu Lissu na Nyalandu na Mbowe hawamo, wakaamua kuwafuta ili tukose wote.
Kwa kifupi, kama una shida mpelekee Mbunge wako Dr Kimei auvAskofu Gwajima au Dr. Tulia, kwani uko wapi? In short, hakuna KUB, hakuna haja ya kuwa na KUB, ni kufuja tu hela zetu walipakodi.
Bunge la sasa ni Bunge la chama kimoja, hakuna kambi rasmi ya upinzani kutokana na Watanzania kuwakataa wapinzani.Wakuu heshima kwenu!
Bila kuwa chosha ninaomba kujua Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Bunge letu la sasa. Nina barua ambayo inapaswa kumfikia.
Ninaomba msaada wa kumfahamu niweze kumfikishia.
Yupo ubelgiji anakula bata huku anajifanya eti ni mkimbizi wa kisiasa, duh.Wakuu heshima kwenu!
Bila kuwa chosha ninaomba kujua Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Bunge letu la sasa. Nina barua ambayo inapaswa kumfikia.
Ninaomba msaada wa kumfahamu niweze kumfikishia.
hajui unamaanisha nini vichwa vitupu hawa. kama mtu anashangilia mvua ya siku 2 eti bwawa la nyerere halina madhara ya kimazingira atakuelewa kweli? sina hakikaBunge la Tanzania ni la chama kimoja tu CCM.
Wakuu heshima kwenu!
Bila kuwa chosha ninaomba kujua Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Bunge letu la sasa. Nina barua ambayo inapaswa kumfikia.
Ninaomba msaada wa kumfahamu niweze kumfikishia.