Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na michezo Dkt Damas Ndumbaro

Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na michezo Dkt Damas Ndumbaro

huyu msemaji nae kamwagia petroli kwenye fukuto, kutukana tasnia nzima ya habari za michezo

"Mimi niliwahi kuwa wakati fulani Mwandishi wa Michezo na niliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) sisi tukizungumza 80% ni
utani, 20% tunazungumza vitu vimekaa vimenyooka”

Eti waandishi wa habari za michezo wanaongea pumba 80% of the time, suala la michezo, ambalo lina waziri,wizara, bajeti za mabilioni ya kujenga viwanja, kumbe ni suala la utani tu
Yaani TASWA ndo imejaa vilaza hivi.
 
Hapa akiwasuluhisha Kalpana na mzee wa Ubuyu Nifah kuelekea mechi za weekend

IMG-20240322-WA0002.jpg
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro kwamba Shabiki atakayekwenda uwanjani kutazama mechi za Kimataifa za Simba na Yanga anapaswa kuvaa jezi za Simba au Yanga kinyume na hapo atalazimika kuwa na passport ya Nchi ambayo klabu anayoishangilia inatokea au vinginevyo hatoruhusiwa kuingia uwanjani.

Msemaji Mkuu katika ufafanuzi wake leo amesema Waziri alikuwa anahamasisha tu uzalendo wa Timu na hakumaanisha kuwa kweli Watu watazuiliwa kisa pasport.

“Alichozungumza Mh. Waziri (Dkt.Ndumbaro) alikuwa anahamasisha uzalendo wa Timu zetu na katika lugha zetu za michezo Waandishi wa Michezo tunafahamu, Mimi niliwahi kuwa wakati fulani Mwandishi wa Michezo na niliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) sisi tukizungumza 80% ni utani, 20% tunazungumza vitu vimekaa vimenyooka”

“Ukizungumza habari zinazohusisha Simba na Yanga, ukang’ang’ana kuzungumza kitu kama kilivyoandikwa mahali fulani hivi inafika mahali unawachosha Watu, hizi ni Timu zinazopenda utani ni Timu zinazopokea ujumbe wakati mwingine kwa lugha rahisi, si kweli kwamba Mh. Waziri alimaanisha pale itakaguliwa pasport, anayejua pasport halali na isiyo halali ni Idara ya Uhamiaji, hakusema Idara ya Uhamiaji itaenda uwanjani pale”

“Kwahiyo katika ushabiki huohuo wa mpira Watu wamelifanya jambo hili la mzaha wamelikuza mpaka Mamelodi wamesikia wameingia uoga, na wameandikiwa na TFF lakini Mimi niwasihi Watanzania tuwe Wazalendo na tutarajie Mamelodi watafungwa na Al Ahly nao watafungwa magoli ya kutosha” ——— Matinyi.
Kwa jinsi wanavyolikoroga, Bw Ndumbaro na Msemaji inabidi wajiuzulu.
 
Hii nchi ukiwa mwehu mwehu ndio unapewa uongozi sehemu fulani.

Asilimia kubwa ya watendaji wa juu wa hii serikali ni wehu.
thats right, wehu watupu

michezo ni nyanja ya uchumi nzito sana duniani, hapa kwetu Waziri na Msemaji wa Serikali, na Msemaji wa Waandishi wa Habari Tanzania, wanadhani ni utani 80% of the time... wehu
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro kwamba Shabiki atakayekwenda uwanjani kutazama mechi za Kimataifa za Simba na Yanga anapaswa kuvaa jezi za Simba au Yanga kinyume na hapo atalazimika kuwa na passport ya Nchi ambayo klabu anayoishangilia inatokea au vinginevyo hatoruhusiwa kuingia uwanjani.

Msemaji Mkuu katika ufafanuzi wake leo amesema Waziri alikuwa anahamasisha tu uzalendo wa Timu na hakumaanisha kuwa kweli Watu watazuiliwa kisa pasport.

“Alichozungumza Mh. Waziri (Dkt.Ndumbaro) alikuwa anahamasisha uzalendo wa Timu zetu na katika lugha zetu za michezo Waandishi wa Michezo tunafahamu, Mimi niliwahi kuwa wakati fulani Mwandishi wa Michezo na niliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) sisi tukizungumza 80% ni utani, 20% tunazungumza vitu vimekaa vimenyooka”

“Ukizungumza habari zinazohusisha Simba na Yanga, ukang’ang’ana kuzungumza kitu kama kilivyoandikwa mahali fulani hivi inafika mahali unawachosha Watu, hizi ni Timu zinazopenda utani ni Timu zinazopokea ujumbe wakati mwingine kwa lugha rahisi, si kweli kwamba Mh. Waziri alimaanisha pale itakaguliwa pasport, anayejua pasport halali na isiyo halali ni Idara ya Uhamiaji, hakusema Idara ya Uhamiaji itaenda uwanjani pale”

“Kwahiyo katika ushabiki huohuo wa mpira Watu wamelifanya jambo hili la mzaha wamelikuza mpaka Mamelodi wamesikia wameingia uoga, na wameandikiwa na TFF lakini Mimi niwasihi Watanzania tuwe Wazalendo na tutarajie Mamelodi watafungwa na Al Ahly nao watafungwa magoli ya kutosha” ——— Matinyi.
Mkuu NALIA NGWENA achana na siasa njoo twende kwenye gurupu letu lile tupeane michongo ya hela.

Hapa wanazidi kuharibu zaidi. Soon utasikia wamepigwa pin na FIFA.
 
Ogopa sana watu wanaokosea halafu wakijua wamekosea, wanaenda kubadilisha sheria ili zibebe makosa yao wasionekane wamekosea.

Kizazi cha viongozi wa hovyo wasiopenda kuwajibika, viongozi janja janja!

Hawa wanaweza kuiba na wakigundulika watasema tulikuwa tunatania tu.
 
Mlitaka waruhusu maandamano alafu wakataze kuvaa jezi au mapokezi ya wageni aiport?
 
Nimeshangazwa na maelezo hayo
Kwanini Waziri alete utani wa kijinga kwenye mambo makini

Utani gani ulio kinyume cha kanuni, sheria na katiba

Kukagua passport za mashabiki wanaoshanikia
Timu tofauti ya simba na yanga uwanja wa mkapa ni uhuni

Na fifa inaweza kutungia

Rais Samia mtengue waziri kilaza kwenye wizara ya michezo hana uelewa wowote amekuja kutugharimu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakukuwa na utani wowote. Huu ni upumbavu waliouzoea CCM wa kutoa amri, kumbe hakujuwa kuwa ujinga wake unavuka nje ya mipaka ya nchi.
 
Ogopa sana watu wanaokosea halafu wakijua wamekosea, wanaenda kubadilisha sheria ili zibebe makosa yao wasionekane wamekosea.

Kizazi cha viongozi wa hovyo wasiopenda kuwajibika, viongozi janja janja!

Hawa wanaweza kuiba na wakigundulika watasema tulikuwa tunatania tu.
Nchi hii imefika patamu sana. Kwa hiyo wenyewe wakivunja sheria, wanaenda wanabadili hiyo sheria ili wawe huru. Aiseee!

Sasa hawa wangepewa waihifadhi Sheria ya Musa leo hii kuua mtu si ingekuwa kama kumsalimia tu?
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro kwamba Shabiki atakayekwenda uwanjani kutazama mechi za Kimataifa za Simba na Yanga anapaswa kuvaa jezi za Simba au Yanga kinyume na hapo atalazimika kuwa na passport ya Nchi ambayo klabu anayoishangilia inatokea au vinginevyo hatoruhusiwa kuingia uwanjani.

Msemaji Mkuu katika ufafanuzi wake leo amesema Waziri alikuwa anahamasisha tu uzalendo wa Timu na hakumaanisha kuwa kweli Watu watazuiliwa kisa pasport.

“Alichozungumza Mh. Waziri (Dkt.Ndumbaro) alikuwa anahamasisha uzalendo wa Timu zetu na katika lugha zetu za michezo Waandishi wa Michezo tunafahamu, Mimi niliwahi kuwa wakati fulani Mwandishi wa Michezo na niliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) sisi tukizungumza 80% ni utani, 20% tunazungumza vitu vimekaa vimenyooka”

“Ukizungumza habari zinazohusisha Simba na Yanga, ukang’ang’ana kuzungumza kitu kama kilivyoandikwa mahali fulani hivi inafika mahali unawachosha Watu, hizi ni Timu zinazopenda utani ni Timu zinazopokea ujumbe wakati mwingine kwa lugha rahisi, si kweli kwamba Mh. Waziri alimaanisha pale itakaguliwa pasport, anayejua pasport halali na isiyo halali ni Idara ya Uhamiaji, hakusema Idara ya Uhamiaji itaenda uwanjani pale”

“Kwahiyo katika ushabiki huohuo wa mpira Watu wamelifanya jambo hili la mzaha wamelikuza mpaka Mamelodi wamesikia wameingia uoga, na wameandikiwa na TFF lakini Mimi niwasihi Watanzania tuwe Wazalendo na tutarajie Mamelodi watafungwa na Al Ahly nao watafungwa magoli ya kutosha” ——— Matinyi.
Nina uhakika alikuwa anawatania CCM wenzake huyo maana akili zao hazijui ukweli.
 
Back
Top Bottom