Yaani TASWA ndo imejaa vilaza hivi.huyu msemaji nae kamwagia petroli kwenye fukuto, kutukana tasnia nzima ya habari za michezo
"Mimi niliwahi kuwa wakati fulani Mwandishi wa Michezo na niliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) sisi tukizungumza 80% ni
utani, 20% tunazungumza vitu vimekaa vimenyooka”
Eti waandishi wa habari za michezo wanaongea pumba 80% of the time, suala la michezo, ambalo lina waziri,wizara, bajeti za mabilioni ya kujenga viwanja, kumbe ni suala la utani tu
Kwa jinsi wanavyolikoroga, Bw Ndumbaro na Msemaji inabidi wajiuzulu.Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro kwamba Shabiki atakayekwenda uwanjani kutazama mechi za Kimataifa za Simba na Yanga anapaswa kuvaa jezi za Simba au Yanga kinyume na hapo atalazimika kuwa na passport ya Nchi ambayo klabu anayoishangilia inatokea au vinginevyo hatoruhusiwa kuingia uwanjani.
Msemaji Mkuu katika ufafanuzi wake leo amesema Waziri alikuwa anahamasisha tu uzalendo wa Timu na hakumaanisha kuwa kweli Watu watazuiliwa kisa pasport.
“Alichozungumza Mh. Waziri (Dkt.Ndumbaro) alikuwa anahamasisha uzalendo wa Timu zetu na katika lugha zetu za michezo Waandishi wa Michezo tunafahamu, Mimi niliwahi kuwa wakati fulani Mwandishi wa Michezo na niliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) sisi tukizungumza 80% ni utani, 20% tunazungumza vitu vimekaa vimenyooka”
“Ukizungumza habari zinazohusisha Simba na Yanga, ukang’ang’ana kuzungumza kitu kama kilivyoandikwa mahali fulani hivi inafika mahali unawachosha Watu, hizi ni Timu zinazopenda utani ni Timu zinazopokea ujumbe wakati mwingine kwa lugha rahisi, si kweli kwamba Mh. Waziri alimaanisha pale itakaguliwa pasport, anayejua pasport halali na isiyo halali ni Idara ya Uhamiaji, hakusema Idara ya Uhamiaji itaenda uwanjani pale”
“Kwahiyo katika ushabiki huohuo wa mpira Watu wamelifanya jambo hili la mzaha wamelikuza mpaka Mamelodi wamesikia wameingia uoga, na wameandikiwa na TFF lakini Mimi niwasihi Watanzania tuwe Wazalendo na tutarajie Mamelodi watafungwa na Al Ahly nao watafungwa magoli ya kutosha” ——— Matinyi.
Waziri anatania walionunaHii Nchi ukiwa na Hasira tulia, vinginevyo jela ileeeeee
Mi sina ubaya, kila mmoja ashinde mechi zake.Hapa akiwasuluhisha Kalpana na mzee wa Ubuyu Nifah kuelekea mechi za weekend
View attachment 2943460
thats right, wehu watupuHii nchi ukiwa mwehu mwehu ndio unapewa uongozi sehemu fulani.
Asilimia kubwa ya watendaji wa juu wa hii serikali ni wehu.
Mkuu NALIA NGWENA achana na siasa njoo twende kwenye gurupu letu lile tupeane michongo ya hela.Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro kwamba Shabiki atakayekwenda uwanjani kutazama mechi za Kimataifa za Simba na Yanga anapaswa kuvaa jezi za Simba au Yanga kinyume na hapo atalazimika kuwa na passport ya Nchi ambayo klabu anayoishangilia inatokea au vinginevyo hatoruhusiwa kuingia uwanjani.
Msemaji Mkuu katika ufafanuzi wake leo amesema Waziri alikuwa anahamasisha tu uzalendo wa Timu na hakumaanisha kuwa kweli Watu watazuiliwa kisa pasport.
“Alichozungumza Mh. Waziri (Dkt.Ndumbaro) alikuwa anahamasisha uzalendo wa Timu zetu na katika lugha zetu za michezo Waandishi wa Michezo tunafahamu, Mimi niliwahi kuwa wakati fulani Mwandishi wa Michezo na niliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) sisi tukizungumza 80% ni utani, 20% tunazungumza vitu vimekaa vimenyooka”
“Ukizungumza habari zinazohusisha Simba na Yanga, ukang’ang’ana kuzungumza kitu kama kilivyoandikwa mahali fulani hivi inafika mahali unawachosha Watu, hizi ni Timu zinazopenda utani ni Timu zinazopokea ujumbe wakati mwingine kwa lugha rahisi, si kweli kwamba Mh. Waziri alimaanisha pale itakaguliwa pasport, anayejua pasport halali na isiyo halali ni Idara ya Uhamiaji, hakusema Idara ya Uhamiaji itaenda uwanjani pale”
“Kwahiyo katika ushabiki huohuo wa mpira Watu wamelifanya jambo hili la mzaha wamelikuza mpaka Mamelodi wamesikia wameingia uoga, na wameandikiwa na TFF lakini Mimi niwasihi Watanzania tuwe Wazalendo na tutarajie Mamelodi watafungwa na Al Ahly nao watafungwa magoli ya kutosha” ——— Matinyi.
MKUU MECHI ZA KIMATAIFA NIMEPUMNZIKA KIDOGO MKUU NASUBIRI WIMBI LIPITE NIRUDI.Mkuu NALIA NGWENA achana na siasa njoo twende kwenye gurupu letu lile tupeane michongo ya hela.
Hapa wanazidi kuharibu zaidi. Soon utasikia wamepigwa pin na FIFA.
Siku Ataiba pesa za kujengea viwanja na kuendeshea akademi Kisha aje atwambia alikuwa ANATANIA KUIBA FEDHA ZA UMMAYn kisa kauli yake ile ndio atenguliwe.? Hayo ni matumizi mabaya ya utenguzi
Hakukuwa na utani wowote. Huu ni upumbavu waliouzoea CCM wa kutoa amri, kumbe hakujuwa kuwa ujinga wake unavuka nje ya mipaka ya nchi.Nimeshangazwa na maelezo hayo
Kwanini Waziri alete utani wa kijinga kwenye mambo makini
Utani gani ulio kinyume cha kanuni, sheria na katiba
Kukagua passport za mashabiki wanaoshanikia
Timu tofauti ya simba na yanga uwanja wa mkapa ni uhuni
Na fifa inaweza kutungia
Rais Samia mtengue waziri kilaza kwenye wizara ya michezo hana uelewa wowote amekuja kutugharimu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi hii imefika patamu sana. Kwa hiyo wenyewe wakivunja sheria, wanaenda wanabadili hiyo sheria ili wawe huru. Aiseee!Ogopa sana watu wanaokosea halafu wakijua wamekosea, wanaenda kubadilisha sheria ili zibebe makosa yao wasionekane wamekosea.
Kizazi cha viongozi wa hovyo wasiopenda kuwajibika, viongozi janja janja!
Hawa wanaweza kuiba na wakigundulika watasema tulikuwa tunatania tu.
Nina uhakika alikuwa anawatania CCM wenzake huyo maana akili zao hazijui ukweli.Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro kwamba Shabiki atakayekwenda uwanjani kutazama mechi za Kimataifa za Simba na Yanga anapaswa kuvaa jezi za Simba au Yanga kinyume na hapo atalazimika kuwa na passport ya Nchi ambayo klabu anayoishangilia inatokea au vinginevyo hatoruhusiwa kuingia uwanjani.
Msemaji Mkuu katika ufafanuzi wake leo amesema Waziri alikuwa anahamasisha tu uzalendo wa Timu na hakumaanisha kuwa kweli Watu watazuiliwa kisa pasport.
“Alichozungumza Mh. Waziri (Dkt.Ndumbaro) alikuwa anahamasisha uzalendo wa Timu zetu na katika lugha zetu za michezo Waandishi wa Michezo tunafahamu, Mimi niliwahi kuwa wakati fulani Mwandishi wa Michezo na niliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) sisi tukizungumza 80% ni utani, 20% tunazungumza vitu vimekaa vimenyooka”
“Ukizungumza habari zinazohusisha Simba na Yanga, ukang’ang’ana kuzungumza kitu kama kilivyoandikwa mahali fulani hivi inafika mahali unawachosha Watu, hizi ni Timu zinazopenda utani ni Timu zinazopokea ujumbe wakati mwingine kwa lugha rahisi, si kweli kwamba Mh. Waziri alimaanisha pale itakaguliwa pasport, anayejua pasport halali na isiyo halali ni Idara ya Uhamiaji, hakusema Idara ya Uhamiaji itaenda uwanjani pale”
“Kwahiyo katika ushabiki huohuo wa mpira Watu wamelifanya jambo hili la mzaha wamelikuza mpaka Mamelodi wamesikia wameingia uoga, na wameandikiwa na TFF lakini Mimi niwasihi Watanzania tuwe Wazalendo na tutarajie Mamelodi watafungwa na Al Ahly nao watafungwa magoli ya kutosha” ——— Matinyi.