Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi: Kaya 1,373 zenye Watu 8,364 zimeshahama Ngorongoro kufikia Aprili 2024

Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi: Kaya 1,373 zenye Watu 8,364 zimeshahama Ngorongoro kufikia Aprili 2024

Ardhi mali ya umma
Na wao ni sehemu ya umma pia, hivi wewe unaona sawa watu kuhamishwa sehemu waliyoishi zaidi ya miaka 200 Kwa sababu wanasiasa wamesema mnaishi Maisha ya kijima na wanataka kuwasaidia? na tunajua issue sio ujima watu wamekula pesa Kuna mtu anataka ile ardhi
 
Back
Top Bottom