Msemaji Mkuu wa Serikali: Pato la kila Mtanzania ni Tsh. 3,048,681

Daah kunaa times hata tusi la kumchagulia mtu unashindwa yan!ilaa poaa fresh
 
Naona mmenipunguzia pato langu na kuwagawia wafanyakazi wa viwanda vya MO
 
Km hujaenda shule jilaumu kwa uzembe wako
Kilq mtu ana haki ya kula.. Aliyesoma ma aaoyesoma.. Tajiri na maskini.. Mtakapowqbana sana maskini na wasiosoma mpaka wakakosa mlo wao kwa sababu ya ulafi wenu ipo aiku hamtaamini watakachowafanya..
 
million 3 kwa mwaka ni hela ya kutolea tamko?,cost za maisha + Kodi + mavazi
 
Ni kweli ila hela zetu nyingi wanazo kina Bakhresa, GSM, Awadh, ASAS na vifaru wengine. Serikali wangeachana na hizo takwimu za kibeberu na kuishi kwenye uhalisia. Takwimu zenye mrengo wa IFM & WB huwa nazichukia mno. Kwa mfano huwa wanatamka sana uchumi wa Kenya ni mkubwa huku wakenya wengi wakiishi kwenye nyumba za mabati na njaa ikiwatandika.
 
Ila hizi hesabu sijaelewa hata kidogo sijui kwa kuwaai kusoma?
 
Watumishi wangeambiwa wajipambanue,wangejitokeza wanasiasa wengi aidha wa chama tawala au upinzani
 
Mshahara wangu ni 327,000/= Ninakatwa mkopo 122,500/=. Take home baada ya makato na michango 154,415/=
154,415 X 12 = 1,852,980/=.
Wenzangu mna siri sana. Yaani mnachukua mara mbili ya ninachokipata kwa mwaka. Daaaah
 
Mshahara wangu ni 327,000/= Ninakatwa mkopo 122,500/=. Take home baada ya makato na michango 154,415/=
154,415 X 12 = 1,852,980/=.
Wenzangu mna siri sana. Yaani mnachukua mara mbili ya ninachokipata kwa mwaka. Daaaah
Duh noma mkopo wa bank au board ya mkopo?
 
CCM mnadanganya Bimkubwa ila kuna injinia nyuma ya mpango huo tunajua aijaja Bahati mbaya ila Bi Mkubwa mchana ha sana subiria PDF ijayo tunza hii thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…