kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
- Thread starter
-
- #41
Nimesoma uzi nimegundua wewe ni Mtu kweli wa Mpira na umeelewa dhamira ya ZAKA ZA KAZI! Watu hawajui... SIMBA kuitaka AZAM imfunge YANGA inaweza kusababisha YANGA itume Malalamiko TFF km MATCH FIXING na hivo kuichafua AZAM!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wangecheza Ramadhan Cuo kama wanataka wasilazimishwe.. Mpira ni mchezo wa wazi, Haiwezekani uwekezaji wote ule halafu timu iwe inafanya inavyojisikia.Nadhani ujamuelewa Zakazakazi ebu isikilize vizuri hiyo clip hoja ni kwamba Azam inataka isilazimishwe na influence Simba kushinda game waache wenyewe washinde game zao.
Unauhakika na unacho kinena.?Kuna tatizo gani kwenye hiyo video? Simba mna matatizo sana,jamaa kasema hawahitaji kuambiwa mechi zao washinde,akimaanisha mechi zote za ligi na nyinginezo,tatizo mnaweweseka sana. Sijui kwa nini hamjiamini,hata huko club bingwa mmefika kwa figisu figisu tu,na hamuendi kokote
Unauhakika na unacho kinena.?
[emoji1] Hawezi Kosa HuyuUnauhakika na unacho kinena.?
Wewe sio shabiki wa simba, au unataka tufukue makaburi? Maana jf haifuti mkuu[emoji28]. We toa hoja yako, utaeleweka tu.Hata jana nimeliongelea hili kwenye group letu la Vpl whatsapp
Mimi ni shabiki wa simba ila kwa siku za karibuni admin wa page ya Simba kajisahau sana anaandika kama ni account ya mtu binafsi,yani ni full mipasho hata isiyo na msingi kwa level ya club yetu ilipofikia.
Shame on us.
Kivipi anaufanya kama wake, kwamba alimpost mapenzi wake au? Au labda anapost vitu visivyohusiana na Simba Sc? Utopolo acheni hizo basi[emoji28].Anaeisimamia ule ukurasa ana mambo meng ya ovyo unaweza kupita usione next mechi wala taarifa muhimu lkn unaona vtu vya ovyo ovyo tu ukurasa wa timu anaufanya kama wake
ukurasa rasmi wa timu kwenda ktk ukurasa wa timu nyngne kukoment ,kama vile wanavyofanya mashabik wewe unaona sawa?Kivipi anaufanya kama wake, kwamba alimpost mapenzi wake au? Au labda anapost vitu visivyohusiana na Simba Sc? Utopolo acheni hizo basi[emoji28].
Hapa mkuu umemaliza ni very MINOR issue amekausha koo lake bureHaikuwa na haja ya kuongelea
Mbona issue ndogo sana hiyo
Rage ni genius sana kuwaita hawa jamaa mbumbumbu!ππππ Ukisikiliza hiyo clip na maelezo ya mtoa mada, ni vitu viwili tofauti.πππ yani mtu anawatakia mema yeye ana kasirika au anawakoga vyura wazidi kuichukia simba.
Uyujamaa anazingua tu, utopo wao wapokee kipigo kama kipigo kutoka kwa Azam.