kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Nimeona video clip ya msemaji wa Azam akilalamikia ushauri wa Simba kwa Azam kwamba washinde mechi yao dhidi ya Yanga.
Jambo hilo halikumfurahisha kiasi kwamba amefikia kuhoji kwamba Simba inaweza kuwa imehusika kupanga matokeo?
Kusema kweli malalamiko hayo nilidhani yalipaswa kutolewa na waliopoteza mechi yao. Mchezo walicheza wao, kufunga walifunga wao, kwa nini aje kulalamikia Simba?
Simba ina CEO mmoja tu, je aliwaandikia barua Azam washinde? Mbona huyu jamaa simuelewi kabisa?
Hana furaha kwa Azam kushinda? Sasa kwa nini hakuwaambia wachezaji wake wasishinde mechi? Atakuwa na furaha na Dube kweli huyu? Hivi Azam mnaajiri vipi mtu huyu anaonekana hawezi kabisa kuficha hisia zake za mapenzi na club ya yanga? Hivi mmekosa kabisa watu wanaoweza kuficha unazi wao kwa timu hizi kongwe?
Jambo hilo halikumfurahisha kiasi kwamba amefikia kuhoji kwamba Simba inaweza kuwa imehusika kupanga matokeo?
Kusema kweli malalamiko hayo nilidhani yalipaswa kutolewa na waliopoteza mechi yao. Mchezo walicheza wao, kufunga walifunga wao, kwa nini aje kulalamikia Simba?
Simba ina CEO mmoja tu, je aliwaandikia barua Azam washinde? Mbona huyu jamaa simuelewi kabisa?
Hana furaha kwa Azam kushinda? Sasa kwa nini hakuwaambia wachezaji wake wasishinde mechi? Atakuwa na furaha na Dube kweli huyu? Hivi Azam mnaajiri vipi mtu huyu anaonekana hawezi kabisa kuficha hisia zake za mapenzi na club ya yanga? Hivi mmekosa kabisa watu wanaoweza kuficha unazi wao kwa timu hizi kongwe?