Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Hata jana nimeliongelea hili kwenye group letu la Vpl whatsapp
Mimi ni shabiki wa simba ila kwa siku za karibuni admin wa page ya Simba kajisahau sana anaandika kama ni account ya mtu binafsi,yani ni full mipasho hata isiyo na msingi kwa level ya club yetu ilipofikia.
Shame on us.
Mimi ni shabiki wa simba ila kwa siku za karibuni admin wa page ya Simba kajisahau sana anaandika kama ni account ya mtu binafsi,yani ni full mipasho hata isiyo na msingi kwa level ya club yetu ilipofikia.
Shame on us.