Msemaji wa Azam FC Hashim Ibwe acha Kuhangaika kukua katika Usemaji kwa Kuichafua Simba SC

Msemaji wa Azam FC Hashim Ibwe acha Kuhangaika kukua katika Usemaji kwa Kuichafua Simba SC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hakuna asiyekujua kuwa Wewe ni Yanga SC 100% na hivi sasa unatumika na Watu wa Yanga SC yako ya Moyoni ( japo upo Azam FC na Azam Media ) kama sehemu yako ya kujipatia Ugali wako wa 24/7.

Tunaokujua ndani nje ( hasa GENTAMYCINE kwakuwa tuko katika Tasnia Moja ) tunatambua kuwa Rafiki yako mkubwa Ali Kamwe ( Msemaji wa Shangilia Ongoza Kundi Makundi CAF ) kupitia Wadhamini wa Timu yake wanakushawishi Kuichafua Simba SC kwa kila namna kisha unaingiziwa Pesa yako na Maisha yanaendelea na yanaenda pia vile vile.

Nikuambie Mdogo wangu Kiumri na hata Kifani ( Kitasnia ) Hashim Ibwe ( Mropokaji na Mpayukaji Juha wa Azam FC ) kuwa huna haja ya kutumia Mbinu ya Kuichafua Simba SC ili nawe uanze kuwa Maarufu bali kama unataka Kujulikana Tanzania nzima zungumza nami GENTAMYCINE na nitakupamba na kukupaisha vizuri hadi kila Mtu atakujua na Kukufuatilia.

Iwe mwanzo na mwisho Kuichafua Simba SC yangu na tunakujua kuliko unavyojijua sawa?

Huwezi kusema kuwa Azam FC yako ni Bora kuliko Simba SC huku ukiisifia Yanga SC yako.

Hovyooooooo.........!!!!!!
 
Hakuna asiyekujua kuwa Wewe ni Yanga SC 100% na hivi sasa unatumika na Watu wa Yanga SC yako ya Moyoni ( japo upo Azam FC na Azam Media ) kama sehemu yako ya kujipatia Ugali wako wa 24/7.

Tunaokujua ndani nje ( hasa GENTAMYCINE kwakuwa tuko katika Tasnia Moja ) tunatambua kuwa Rafiki yako mkubwa Ali Kamwe ( Msemaji wa Shangilia Ongoza Kundi Makundi CAF ) kupitia Wadhamini wa Timu yake wanakushawishi Kuichafua Simba SC kwa kila namna kisha unaingiziwa Pesa yako na Maisha yanaendelea na yanaenda pia vile vile.

Nikuambie Mdogo wangu Kiumri na hata Kifani ( Kitasnia ) Hashim Ibwe ( Mropokaji na Mpayukaji Juha wa Azam FC ) kuwa huna haja ya kutumia Mbinu ya Kuichafua Simba SC ili nawe uanze kuwa Maarufu bali kama unataka Kujulikana Tanzania nzima zungumza nami GENTAMYCINE na nitakupamba na kukupaisha vizuri hadi kila Mtu atakujua na Kukufuatilia.

Iwe mwanzo na mwisho Kuichafua Simba SC yangu na tunakujua kuliko unavyojijua sawa?

Huwezi kusema kuwa Azam FC yako ni Bora kuliko Simba SC huku ukiisifia Yanga SC yako.

Hovyooooooo.........!!!!!!
Aise kama kasema hivyo inabidi na yeye akapimwe na yule dokta alie mpima yule afande wa zenji maana inawezekana yeye ukapita mkono kabisa.
 
Hakuna asiyekujua kuwa Wewe ni Yanga SC 100% na hivi sasa unatumika na Watu wa Yanga SC yako ya Moyoni ( japo upo Azam FC na Azam Media ) kama sehemu yako ya kujipatia Ugali wako wa 24/7.

Tunaokujua ndani nje ( hasa GENTAMYCINE kwakuwa tuko katika Tasnia Moja ) tunatambua kuwa Rafiki yako mkubwa Ali Kamwe ( Msemaji wa Shangilia Ongoza Kundi Makundi CAF ) kupitia Wadhamini wa Timu yake wanakushawishi Kuichafua Simba SC kwa kila namna kisha unaingiziwa Pesa yako na Maisha yanaendelea na yanaenda pia vile vile.

Nikuambie Mdogo wangu Kiumri na hata Kifani ( Kitasnia ) Hashim Ibwe ( Mropokaji na Mpayukaji Juha wa Azam FC ) kuwa huna haja ya kutumia Mbinu ya Kuichafua Simba SC ili nawe uanze kuwa Maarufu bali kama unataka Kujulikana Tanzania nzima zungumza nami GENTAMYCINE na nitakupamba na kukupaisha vizuri hadi kila Mtu atakujua na Kukufuatilia.

Iwe mwanzo na mwisho Kuichafua Simba SC yangu na tunakujua kuliko unavyojijua sawa?

Huwezi kusema kuwa Azam FC yako ni Bora kuliko Simba SC huku ukiisifia Yanga SC yako.

Hovyooooooo.........!!!!!!
Mdogo wangu, huu mwaka lazima nikupeleke kwa Mzee Yusuph, ili ufanye naye collabo.
 
Just imagine yule dogo na umri ule kashaoa na kuacha na sasa anaishi na lishangazi..usitegemee awe na matumizi mazuri ya akili..
Mgosi, naona umevuka mipaka. Kwanza unaonekana uko kama mimi tu! Yaani huna uzoefu wa kupendwa na jimama.

Hivyo hutakiwi kumsema huyo dogo. Maana na wewe siku ukiingia huko, utaishia tu kulia kisambaa hotate naneeiii!!
 
Just imagine yule dogo na umri ule kashaoa na kuacha na sasa anaishi na lishangazi..usitegemee awe na matumizi mazuri ya akili..
Kuna lingine moja na la Aibu linalomhusu nalijua ila namstahi Kwanza nione atabadilika au ataendelea Kuichafua Simba SC yangu ili nimnyooshe.
 
Kuna lingine moja na la Aibu linalomhusu nalijua ila namstahi Kwanza nione atabadilika au ataendelea Kuichafua Simba SC yangu ili nimnyooshe.
Msanue tu kwani tayari yeye yuko kwenye mission ya kuichafua Simba na anaokea malipo kwa ajili hiyo, hakuna huruma kwa wajinga kama hawa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hapa maumivu yamekuja kwasababu kasema Yanga ni bora kuliko Simba,angesema kinyume chake ungeshusha Uzi wa kumsifia......... yaani humu JF watu wanapenda kutoa mawazo Kwa Uhuru ila hawapendi kusikia mawazo ya watu Wengine walio kinyume na mawazo yao........... Civilization bado sana humuhumu Jeiefu
 
Back
Top Bottom