ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Zakazi alikuwa amefungiwa, sasa baada ya kumaliza adhabu, Hashimu Ibwe hataki kumkabidhi mwenye nafasi yake. Yaani ni sawa na Manara amalize adhabu halafu Ali Kamwe akatae kumkabidhi nafasi πππNa yule Zaka Zakazi ni nani pale Azzam?
Unachanganya mafaili, Ally Kamwe ameajiliwa na Yanga kama Afisa habari, Manara ameajiliwa na nani kama nani?Zakazi alikuwa amefungiwa, sasa baada ya kumaliza adhabu, Hashimu Ibwe hataki kumkabidhi mwenye nafasi yake. Yaani ni sawa na Manara amalize adhabu halafu Ali Kamwe akatae kumkabidhi nafasi πππ
Nongwa tu mkuu..π€Mkuu haya yote ni kuhusu mpira au kuna menginee
Manara ameajiriwa na Yanga kama Afisa habari na dua ya kumuombea ilifanyika hadharani, ila sema tu walipishana kidogo lugha na Ali Kamwe wakati dogo anakuja kukaimu nafasiUnachanganya mafaili, Ally Kamwe ameajiliwa na Yanga kama Afisa habari, Manara ameajiliwa na nani kama nani?
Ukipata jibu utajigunduwa ni mjinga.
Haji hajawahi kuwa afisa habari wa Yanga labda una Yanga yako weweManara ameajiriwa na Yanga kama Afisa habari na dua ya kumuombea ilifanyika hadharani, ila sema tu walipishana kidogo lugha na Ali Kamwe wakati dogo anakuja kukaimu nafasi
View attachment 2577742
Mnamkataa tu kwa kuwa hana msaada kwa sasaHaji hajawahi kuwa afisa habari wa Yanga labda una Yanga yako wewe