kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
- Thread starter
-
- #21
Kwani umetishika kuisikia kuna Password Mkuu? ๐ ๐Huyo jeri muloo kasema eti ana password, sasa hiyo password siku zote alikuwa wapi mpaka leo kaona gwambina eti ndo anajidai ana password.
Nimesikia kijisehemu Muro anasema Manara kawa KIGANDO. ๐๐๐๐Ukiangalia vizuri kuna picha inajionyesha Yanga wameanzisha 'kijiji cha wasemaji' kupambana mtu mmoja tu anayewanyima raha katika soka la Tanzania Haji Manara.
Angeileta hiyo password na kagera sugar sio gwambina๐๐Kwani umetishika kuisikia kuna Password Mkuu? ๐ ๐
Kaamua kuja nazo sasa mana yuko likizo. ๐๐Angeileta hiyo password na kagera sugar sio gwambina๐๐
Sawa mkuu ila tukutane hapa hapa baadae kwa info... usinikimbie! Mungu tubariki gwambina๐คฒKaamua kuja nazo sasa mana yuko likizo. ๐๐
Ila ni maneno tu zile Mkuu zisikutese sana bana.
Mida hiyo nakuwa njiani kurudi home hivyo mpaka asubuhi ndo ntakuja. Hahahaaa. Lol.Sawa mkuu ila tukutane hapa hapa baadae kwa info... usinikimbie! Mungu tubariki gwambina๐คฒ
Haji anaomba waislamu wenzake wamsaidie..Jerry ana mdomo mbaya sana KhaKamati ya kupambana na Haji Manara