kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
- Thread starter
- #21
Ukiangalia vizuri kuna picha inajionyesha Yanga wameanzisha 'kijiji cha wasemaji' kupambana mtu mmoja tu anayewanyima raha katika soka la Tanzania Haji Manara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umetishika kuisikia kuna Password Mkuu? 😅😅Huyo jeri muloo kasema eti ana password, sasa hiyo password siku zote alikuwa wapi mpaka leo kaona gwambina eti ndo anajidai ana password.
Nimesikia kijisehemu Muro anasema Manara kawa KIGANDO. 😂😂😂😂Ukiangalia vizuri kuna picha inajionyesha Yanga wameanzisha 'kijiji cha wasemaji' kupambana mtu mmoja tu anayewanyima raha katika soka la Tanzania Haji Manara.
Angeileta hiyo password na kagera sugar sio gwambina😂😂Kwani umetishika kuisikia kuna Password Mkuu? 😅😅
Kaamua kuja nazo sasa mana yuko likizo. 😀😀Angeileta hiyo password na kagera sugar sio gwambina😂😂
Sawa mkuu ila tukutane hapa hapa baadae kwa info... usinikimbie! Mungu tubariki gwambina🤲Kaamua kuja nazo sasa mana yuko likizo. 😀😀
Ila ni maneno tu zile Mkuu zisikutese sana bana.
Mida hiyo nakuwa njiani kurudi home hivyo mpaka asubuhi ndo ntakuja. Hahahaaa. Lol.Sawa mkuu ila tukutane hapa hapa baadae kwa info... usinikimbie! Mungu tubariki gwambina🤲
Haji anaomba waislamu wenzake wamsaidie..Jerry ana mdomo mbaya sana KhaKamati ya kupambana na Haji Manara