COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,603
- 3,658
Msemaji wa jeshi la polisi nchini Uganda Emilian Kayima, Ameshambuliwa kwa mawe na raia wenye hasira kali wakati akizungumza na wanachi katika Mazishi ya aliyekuwa askari polisi Muhammed Kirumira aliyekufa kwa kupigwa risasi Usiku wa kuamkia jana Bulenga.
Hata hivyo katika Hotuba yake, Msemaji huyo amevilaumu vyombo vya ulinzi na usalama nchini humo kuhusika na tukio hilo siku ya jumamosi ya tarehe 8/9/18 usiku katika wilaya ya wakiso, Vile vile kabla ya kifo chake, Marehemu Mohhamed Kirumira alikuwa ni mkosoaji mkubwa wa uvunjifu wa haki za raia na kiongozi wa jeshi la polisi nchini humo Kale Kayihura.
Bobi Wine: Kirumira was assassinated
Hata hivyo katika Hotuba yake, Msemaji huyo amevilaumu vyombo vya ulinzi na usalama nchini humo kuhusika na tukio hilo siku ya jumamosi ya tarehe 8/9/18 usiku katika wilaya ya wakiso, Vile vile kabla ya kifo chake, Marehemu Mohhamed Kirumira alikuwa ni mkosoaji mkubwa wa uvunjifu wa haki za raia na kiongozi wa jeshi la polisi nchini humo Kale Kayihura.
Bobi Wine: Kirumira was assassinated