Gosheni
Senior Member
- Oct 28, 2008
- 199
- 138
Police wenýe akili timamu na wanaojielewa wanauawa wanabaki mazombie tu
Pole na udini wako, mwaka huu kuna ofisa mkubwa wa polisi aliuwawa, Kama mwezi mmoja umepita kuna mmbunge aliuwawa kote huko Uganda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Police wenýe akili timamu na wanaojielewa wanauawa wanabaki mazombie tu
Wewe jamaa vipi? sehemu gani hapo kwenye comment yangu nimeweka udini?Pole na udini wako, mwaka huu kuna ofisa mkubwa wa polisi aliuwawa, Kama mwezi mmoja umepita kuna mmbunge aliuwawa kote huko Uganda
Alama za nyakati tunaziona tulio pembeni mwa maakuli Chief, mara nyingi walio mezani huwa hawazioni hizo alama......Huyu M7 hasomi alama za nyakati.!
Ukatili mkubwa sana huu. Unaua binadamu mwenzako wakati unajua ako na batoto badogo wanamtegemea, wewe unaua wote baba na mama.