Msemaji wa Lipuli analipwa laki tisa, Haji analamba laki saba hivi ni haki hii?

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Tuweke utani pembeni,

Msemaji wa timu kabambe ya lipuli pale mkoani Iringa anakula mshahara wa laki tisa kwa mwezi.

Ndugu yetu wa Damu kabisa Bughat eliclasco Haji mwana wa Manara anakula laki saba kama alivosema mwenyewe na hana mkataba yaani hana cha NSSF wala bima ya afya wakati jamaa msemaji wa Lipuli anapata haki zote hizo.

Hivi hii ni haki kweli?
 
Hata serikali imekosa kodi
Kama huyu mzawa hao wageni wanaotakiwa kulipia kodi yakushinda kwenye ardhi yetu wanapofanyia kazizetu

Kunaumuhimu kujua haya

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Manara hajaibainisha hiyo hela kama ni USD dollar,tsh au kiwango gani haja analyse
 
Unajua kwamba kuwa na hiyo title tu ni mshahra tosha? Juzi kala ubalozi wa ASAS, kala mpunga..., angepats huo ubalozi bila hiyo title?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…