Msemaji wa serikali acharuka kwa wanaobeza mbinu za uokoaji! Apongeza serikali

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kauli yetu mbiu ni watoto wa bata hawadeki

Leo Msemaji wa serikali acharuka, Asema wavuvi ni wajibu wao kuokoa,
Apongeza uongozi wa kagera kwa jitihada kubwa walizozifanya kuokoa!
Asema siku ya tukio wataalamu na wazamiaji walikuwepo eneo la tukio kwa wakati

Asema wananchi wasibeze jitihada za serikali zimefanyika kubwa sana!
Asema helikopita zilizopo ni kwa ajili ya usafirishajii na utalii! Siyo za kunyanyulia vitu vizito!

Mwandishi alichosahau kumuuliza Msemaji ni JE ILE MITUMBWI YA WAVUVI ILIYOSAIDIA KWANI KAZI YAKE NI MAJANGA? KWANI KAZI YAKE KUNYANYUA AU KUVUTA VITU VIZITO?


 
So sad..
 
 

Attachments

  • DA7E0D40-8343-4FE0-99BB-1153A0A73208.jpeg
    15.3 KB · Views: 4
Si bora angenyamaza tu. Huyu na yule abasi ndo walimdhalilisha Nape kwa kumrekodi akitembea magogoni jasho likimtoka akijpangusa. Lakini sasa hivi Nape bosi wao halafu wala ajalipiza kisasi. Mkwere, Nape, January na membe ni watu wenye utu wangeamua kulipiza kisas hamna aneyebaki. Tatizo lao moja tu kumpiga vita rais wetu kipenzi lowasaa.
 
Akumbuke kuna wanaoomboleza kwa kupotelewa na wawapendao, busara ilimtaka anyamaze tu, at least tusingepata ushahidi mwingine wa ukosefu wa akili, maono na busara kwenye fuvu lake la kichwa..
 
Sijakuelewa Mr msemaji

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kazi iendelee
 
Hicho cheo sijui nani alimpa huyo mjinga
 
Helcopter ingetumika kuwawahisha waokoaji wenye taaluma ya uokoaji na vifaa ingesaidia sana kunusuru maisha ya wahanga wa ajali hii.

Msigwa ni mshamba mchangamfu, kama hauko makini huo uchangamfu wake unaweza kukudanganya udhani jamaa ni mjanja.

Anyway, serikali ya CCM inaongoza ng’ombe.
 
No wonder lilitumbuliwa ikulu hili
 
Huyu kumbe hata elimu ya kawaida Sana Hana.
Hata tiivii sijui Kama anaangaliaga.
Linawaza v8 na upigaji tu.
Hao waandishi walio rekodi au kumsikiliza huyu mkinga Nina wasi wasi nao.
 
Ukweli utabaki palepale serikali imefeli kwenye uokozi laiti kama waokoaji wangefika mapema na vifaa thabiti hawa ndugu zetu 19 wasingefariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…