Msemaji wa Serikali, Dkt. Abbas acha Dharau na Punguza Chuki zako kwa Msemaji wa Simba SC, Haji Manara

Sasa gubu la nini?
 
huyu abasi ndio nani tuone picha yake maana mi namjua manara tu
 
Yuko sawa sababu wanashindwa kutofautisha uweledi kama afisa wa habari na ushabiki,matoke yake ndio kama hayo Manara kila kitu ana kichukulia personal.
Hopeless mkubwa Wewe yuko sawa Leo kwakuwa asiyempenda Haji Manara amekinukisha kwa Rafiki yake na Mshabiki mwenzie wa Yanga SC Mtangazaji Maulid Kitenge wa Wasafi FM, ila Kipindi kile aliyekuwa Msemaji wenu Yanga SC Jerry Muro ( sasa DC Arumeru ) alipokuwa akimdhihaki tena Personally kabisa Haji Manara huyu Msemaji wa Serikali Dkt. Hassan Abbas alikuwa sahihi Kunyamaza na Kutolikemea Kimaadili kama alivyofanya sasa? Mnafiki mkubwa Wewe na Wanafiki wakubwa nyie.
 
Insha ndefu lakini umeisoma yote tu Pumbavu.
 
Wivu tuu unamsumbua, Manara ni maarufu kuliko yeye na hiyo PhD yake....
Kuna tofauti ya kuwa na umaarufa pamoja na uweledi,yeye analalamika tu sababu ya "tetesi za Simba".

Kuna waandishi wakubwa wa habari wa Skysports,The Guardians wanaandika tetesi za club kubwa duniani,zinazo weza kujiendesha zenyewe bila kutegemea mfuko wa mtu,lkn humsikii afisa wake wa habari akimuattack mwandishi wa habari kwa vitu personal.
 
Kwa hiyo kwa kuwa Jerry alikosea hata Manara akikosea naye sawa,sasa hizo akili au matope.

Wewe ndiye HOPELESS unayehalalisha kosa la Manara,kisa Jerry Muro alikosea NONSENSE.

Hivi nikuulize Jerry Muro alishawahi kumuattack mwandishi yoyote kwa vitu ambavyo ni personal?.

Hao Manchester,Liverpool,Real Madrid,Ac Milan vilabu vikubwa duniani,wandishi wanaandika sana tetesi kuzihusu hizo club lkn husikii maafisa wao wa habari kuwaattack waandishi kwa vitu personal,mwisho wa siku akitukanwa naye atadai "mnanionea sababu mimi mlemavu",unaanzisha ugomvi wa mawe wakati wewe mwenyewe unaishi nyumba ya vioo.

Atofautishe tu kati ya tofauti ya ushabiki na uweledi,kama nao wandishi wakireact kama afanyavyo yy,atakaye umia ni yeye.

Yeye mtu mgani kishagombana na Shaffih Dauda,Efm na leo hii Maulid wa Kitenge wa Wasafi kwa mambo ambayo haya make sense.Mbona akina Masao Bwire,Kifaru pamoja na kuongea kwao ila huwasikii kuwa attack waandishi kwa vitu personal.
 
umesahau na pia alishagombana na yule msemaji wa Azam
 
Mtu akirekebisha tayari amekua anamchukia? Sasa amchukie kwa kipi? Akikosoa tayari kashakua Yanga, angesifia usingeona huo u yanga unaosema
Hii Mikia hainaga akili kama tu taahira Manara

Mikia inafanana
 
Mkuu, samahani, hivi yule GENTA ni ndugu yako? Mnafanana kweli UANDISHI!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…