Msemaji wa Serikali, Dkt. Abbas acha Dharau na Punguza Chuki zako kwa Msemaji wa Simba SC, Haji Manara

Msemaji wa Serikali, Dkt. Abbas acha Dharau na Punguza Chuki zako kwa Msemaji wa Simba SC, Haji Manara

Mpumbavu ni nani?!!mimi au wewe usiyejua hata dr.Abas kwenye wizara ya habari ni nani?!!nimeisoma yote ili kutafuta ni kweli hujui ana cheo gani kingine?!!sio daaa, huruma!!siku zote mtu akishindwa kwenye hoja hukimbilia matusi!!
You're too young to compete with my IQ.
 
Mkuu, mimi ni shabiki wa huyo ndugu. Huwa, ninafurahia sana kusoma nahau, methali na maneno mengi ambayo huwa ni mapya kwangu, pamoja na VICHAMBO vya kutosha! Yaani, huwa napenda style ya uandishi wake. Ni wa ki pekee! Sasa, nikaona mnafanana kuandika. Sijajua, ni nani kati ya wewe na yeye (Genta) anayemuiga mwenzie uandishi!
Bahati nzuri / mbaya Mtajwa huyo Simjui.
 
Mbona hata Wewe hapo Ofisini Kwako ndiyo Kinara wa Kujikomba ( Kujipendekeza ) kwa Boss zako huku ukiwa ndiyo mpiga Majungu Mwandamizi, Mfitini hadi Unawaroga Wenzako ili upendwe Wewe na Mabosi? Nahisi ulitamani kweli kweli uwe Mwanamke ili usiishie tu Kujipendekeza Kwao bali Uwapanulie kabisa ili usikilizwe Wewe.
Bahati mbaya hunijui
Ila ungenijua ungefuta ujinga huu, mm huwa sina shobo na mabosi wangu na wao wanajua
 
Mbona hata Wewe hapo Ofisini Kwako ndiyo Kinara wa Kujikomba ( Kujipendekeza ) kwa Boss zako huku ukiwa ndiyo mpiga Majungu Mwandamizi, Mfitini hadi Unawaroga Wenzako ili upendwe Wewe na Mabosi? Nahisi ulitamani kweli kweli uwe Mwanamke ili usiishie tu Kujipendekeza Kwao bali Uwapanulie kabisa ili usikilizwe Wewe.
Haya mambo ya kuroga ndio kwanza nimeyasikia kwako inaonekana ni utamaduni wako kuroga na kupiga majungu ili upendwe, kuna siku nilimtukana bosi na kazi nikaacha siku hiyo, sipendagi ujinga ndio maana hata mambo ya kuajiriwa sitaki hata kuyasikia
 
Kwa hiyo kwa kuwa Jerry alikosea hata Manara akikosea naye sawa,sasa hizo akili au matope.

Wewe ndiye HOPELESS unayehalalisha kosa la Manara,kisa Jerry Muro alikosea NONSENSE.

Hivi nikuulize Jerry Muro alishawahi kumuattack mwandishi yoyote kwa vitu ambavyo ni personal?.

Hao Manchester,Liverpool,Real Madrid,Ac Milan vilabu vikubwa duniani,wandishi wanaandika sana tetesi kuzihusu hizo club lkn husikii maafisa wao wa habari kuwaattack waandishi kwa vitu personal,mwisho wa siku akitukanwa naye atadai "mnanionea sababu mimi mlemavu",unaanzisha ugomvi wa mawe wakati wewe mwenyewe unaishi nyumba ya vioo.

Atofautishe tu kati ya tofauti ya ushabiki na uweledi,kama nao wandishi wakireact kama afanyavyo yy,atakaye umia ni yeye.

Yeye mtu mgani kishagombana na Shaffih Dauda,Efm na leo hii Maulid wa Kitenge wa Wasafi kwa mambo ambayo haya make sense.Mbona akina Masao Bwire,Kifaru pamoja na kuongea kwao ila huwasikii kuwa attack waandishi kwa vitu personal.
Usipoteze Nguvu kubishana na huyo mtu zaidi atakukwaza na kukutukana kabisa..uyo ni GENTAMYCINE ktk ID nyingine
 
" Hawa Wasemaji wadogo wadogo wa hivi Vilabu ambao pia wako chini yangu Mimi wajirekebishe "
Kumbe jina la manara ni "Wasemaji wadogo wadogo"?sikujua. Kwanini simba mmejistukia wakati hakuna mtu aliyetajwa, au jiwe limetupwa gizani?
 
Haya mambo ya kuroga ndio kwanza nimeyasikia kwako inaonekana ni utamaduni wako kuroga na kupiga majungu ili upendwe, kuna siku nilimtukana bosi na kazi nikaacha siku hiyo, sipendagi ujinga ndio maana hata mambo ya kuajiriwa sitaki hata kuyasikia
Mbona hata tu huu Uandishi wako unaonekana ni wa Kiuchawi Uchawi tupu?
 
Namkubali sana Abbas, nafasi hiyo inamfaa sana,hana majivuno ni mtu Wa watu,mwacheni atimize wajibu wake
 
Usipoteze Nguvu kubishana na huyo mtu zaidi atakukwaza na kukutukana kabisa..uyo ni GENTAMYCINE ktk ID nyingine
Baadae ukipigwa ( wakikupiga ) BAN kwa huu Uzushi wako usio na Uthibitisho wa Kiuhalisia utalaumu ( utawalaumu ) Moderators wa JamiiForums?
 
Ndio uyo uyo kaja na ID nyingine
Baadae ukipigwa ( wakikupiga ) BAN kwa huu Uzushi wako usio na Uthibitisho wa Kiuhalisia utalaumu ( utawalaumu ) Moderators wa JamiiForums?
 
Ni Mtu wa Watu kwakuwa ni Shemeji yako na anakutunza Kwake Oysterbay / Masaki?
Hapana,hanitunzi na wala sina nasaba naye Ila ni one of the government officials ninao wakubali kwa kutekeleza wajibu wao kwa ufasaha.
 
Anataka waache fitna wajifunze kwa wasemaji wa vilabu vilivyoendelea - barcelona, man u, nk.
 
Anataka waache fitna wajifunze kwa wasemaji wa vilabu vilivyoendelea - barcelona, man u, nk.
Huyo Abbas, ni wivu wake tu! Hivi, hao wasemaji, wana athiri nini watu wengine? Hizo ni burudani tu. Watu wanapenda kusikia vimbwanga vya akina Masau, Manara, Kifaru nk. Hata vyombo mbali mbali vya habari, wanapenda kuwahoji wasemaji wa aina hiyo ili kuvutia watazamaji/wasikilizaji wao!
Hata msemaji wa CCM (Polepole) , kuna wakati aina ya maneno ayasemayo yanawakera wapinzani wake, lakini ndiyo siasa na burudani yenyewe. Asitupeleke kwenye hali ya MAJONZI wakati wote! Wamefungia magazeti kibao, sasa wanataka kugeuzia kisu huku!?
 
Manara afungiwe haraka sana, ni mpumbavu sana, hana chochote anachoandika zaidi ya kuichafua yanga, narudia tena, manara ni mpuuzi afungiwe
 
Back
Top Bottom