Msemaji wa Serikali, Dkt. Abbas acha Dharau na Punguza Chuki zako kwa Msemaji wa Simba SC, Haji Manara

Manara hana budi kujirekebisha, hana staha na ana mihemko kiasi kikubwa
 
Damn Fool.
 
Imeisha hiyoooooh
 
Mtu unajiita bughatt halafu kazi yako ni kujipendekeza kwa matajiri?
Mbona hata Wewe hapo Ofisini Kwako ndiyo Kinara wa Kujikomba ( Kujipendekeza ) kwa Boss zako huku ukiwa ndiyo mpiga Majungu Mwandamizi, Mfitini hadi Unawaroga Wenzako ili upendwe Wewe na Mabosi? Nahisi ulitamani kweli kweli uwe Mwanamke ili usiishie tu Kujipendekeza Kwao bali Uwapanulie kabisa ili usikilizwe Wewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Manara hana budi kujirekebisha, hana staha na ana mihemko kiasi kikubwa
Ila akina Bumbuli na Nugaz wao hawatakiwi Kujirekebisha, wana Staha, hawana pia Mihemko na wapo huru Kumchafua Haji Manara na Klabu ya Simba SC watakavyo? Mnafiki mkubwa Wewe!!
 
Kwani mkuu hujui kama huyu pia ni katibu mkuu habari utamaduni na michezo
 
Bilashaka huyu atakuwa ni manara mwenyewe kaja na fekelo lake hapa
 
Insha ndefu lakini umeisoma yote tu Pumbavu.
Mpumbavu ni nani?!!mimi au wewe usiyejua hata dr.Abas kwenye wizara ya habari ni nani?!!nimeisoma yote ili kutafuta ni kweli hujui ana cheo gani kingine?!!sio daaa, huruma!!siku zote mtu akishindwa kwenye hoja hukimbilia matusi!!
 
Ndiyo Mada iliyoko Mezani Kujadiliwa?
Mkuu, mimi ni shabiki wa huyo ndugu. Huwa, ninafurahia sana kusoma nahau, methali na maneno mengi ambayo huwa ni mapya kwangu, pamoja na VICHAMBO vya kutosha! Yaani, huwa napenda style ya uandishi wake. Ni wa ki pekee! Sasa, nikaona mnafanana kuandika. Sijajua, ni nani kati ya wewe na yeye (Genta) anayemuiga mwenzie uandishi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…