Msemaji wa Serikali, Dkt. Abbas acha Dharau na Punguza Chuki zako kwa Msemaji wa Simba SC, Haji Manara

Tuwe tu wakweli Manara ni namba ingine kabisa na ana ushawishi yaani nyota yake inanga'aa sana kwenye usemaji. ..kwa propaganda kwakweli bado sijaona kama Manara,..... bado sana ...fame kazaliwa nayo na nyota yake inanga'aa siku hadi siku jua halizuiwi kwa ungo na Wamuache Manara msemaji wa taifa hata wakimpiga majungu ukwl tunaujua...Mimi Yanga lialia lkn kwenye ukwl usemwe tu.
 
Mtoa mada hata mimi nilishangaa sana anavyowaita wenzake wasemaji wadogo wakati yeye ikiwekwa top 5 ya wasemaji maarufu nchi hii bila kujali wanatokea taasisi gani, nadhani yeye anaweza kushika mkia au asiwemo.
Hicho ndicho kinachomkera!
 
Tumekusikia Haji Sunday Manara
 
manara sio msemaji wa taifa, Tanzania tuna cheo kimoja tu cha MSEMAJI MKUU WA SERIKALI.
 
Leo ndio nimejua ID ya Haji Manara hapa JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…