Msemaji wa Serikali: Serikali imeelekeza, imeonya na kusamehe vya kutosha. Sasa kuvichukulia hatua vyombo vya habari vinavyosambaza taarifa za uongo

Masiya ndio kitu gani hicho wewe? Asiyekufahamu wewe kuwa upo under cover- yaani mnoko, ndiye atapata shida. Tunao kufahamu hatupati shida. Wewe ni kalai tu kama Katambi
Hata Wayahudi walishusha credibility ya Masiya na wakamsulubisha, itakuwa kapuku mimi kushushwa credibility na Bibi Kalamba?.
P
 

Inabidi kazi kubwa ifanyike bila kuangalia kanjanja anaandika ya kupendezesha serikali or not
 
He's such a disgrace
 
Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
Paskali,
Naona sasa unapanda chart haraka sana. Wewe ni mtu uliyekuwa unatuliza mzuka kwanza kabla hujachangia ndipo uliposhusha andiko likawa la kumaliza mizozo. Ila kwa siku za karibuni, nadhani umeshadokezwa kuwa kuna ka Tuzo flani hivi kanaweza angukia njiani kwako. Yoote sawa ila kumbuka, njaa ikizidi huwa maafa. Usikimbizwe na njaa Paskali. Utakuja kula hata na yasokufaa. Mwanadamu kula magunzi si afya. Vile vyeo vizuri vishachukuliwa na waliounga mkono juhudi. We utapata nini??
Jiulize kwanza, Je, huyu msemaji aliyaandika hayo kwa lengo gani?? Je ni nani anashushiwa rungu?? Usiunge mkono tu ila jiongeze kidogo Paskali. Sote ni wazalendo ila uzalendo usiuondoe utu wetu
 
Kama kweli anaongea kutoka ndani ya moyo wake, basi tutegemee gazeti la Tanzanite kufungiwa la kwanza,kwa kuwa ndiyo limekuwa kinara wa kuzushia viongozi uongo
 
Msisitizo wa taaluma, haki, wajibu, weledi, misingi na sheria unakumbukwa tu pale kunapokuwa ukosoaji dhidi ya serikali na viongozi wake. Wale praise team (TBC na nduguze, kina Musiba nk) haya maonyo hayawahusu kabisa! Ni unafiki kwa kwenda mbele.
 
Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
Nawee nawe unaunga mkono upuuzi, hivi sasa kuna chombo gani cha habari kiko huru 100%.
 
Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
Mm nauliza hivi P! Je! Mitandao ya kijamii nayo ni taaluma?
Manake unless unaongelea tv na redios lkn huku tunakoskiliza kauli tukiwa tunarekodi af tukarusha u tube na jamii forum nako tusemeje?
 
Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
You sound terrified ,sasa hapa ume add nini mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aanze na TAZANA TANZANIA,JANVI LA HABARI NA TANZANITE ili tujue kama ni mweledi na anasimamia weledi wa vyombo vya habari. vinginevyo ni ujinga tu wa bwana abasi
 
Kweli Mkuu Pascal, hasa kwa vyombo vya habari vinavyotoa habari kipropaganda badala ya kitaaluma na kupotosha mambo kimakusudi kwa manufaa binafsi ya watu fulani fulani. vinastahili adhabu! Vingekuwa Trump tunge vi-impeach!
kama vya Musiba
 
Naunga mkono hoja ya Dr. Abbas, uandishi wa habari ni fani, ni kipaji na pia ni taaluma, ina miiko yake, haki zake, wajibu wake, misingi yake na zaidi sheria zake. Sheria, taratibu na kanuni za uandishi zifuatwe na maadili yazingatiwe na yalindwe.
P
P! Magazeti ya Msiba Ni msiba kwa Vyama vya upinzani
Je wahariri wa magazeti ya Msiba msemaji wa Serekali haruhusiwi kuyaonya?
 
Tanzania ya sasa hakuna waandishi wa habari mahiri,
tutawakumbuka sana.hawa:

Benjamin mkapa.
Muhingo rweyemamu.
Jenerali ulimwengu.
Johnson mbwambo.
John rutayisingwa.
Pascal mayalla.
Faraji katalambura.
Eddie ganzel.

List ni ndeeefu,labda na wengine mnisaidie kuongezea kwenye list.

hawa wa sasa hivi wapo wengi wazuri lakini viwango vyao havikidhi mahitaji ya wakati tulionao.

Hawajishughulishi na kuongeza viwango vyao vya kielimu,lakini pia lugha na uwezo wao wa kuhoji watu mbalimbali tunawaona kabisa wakipwaya.

wengi wao ni wafukuzia bahasha kila wanapoitwa kwenye watoa taarifa mbalimbali, kwa ujumla wengi ingawa si wote.
wanatumikaaaa!

Tena hata lugha zao zinazotumiwa ni za kihuni.

mfano,mwandishi anatumia neno *kimenuka! au *kudadeki!,au *akinukisha

huu ni mfano mdogo sana,lakini kwa ujumla makanjanja kwenye tasnia hii ni kufuru!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…