Unajua impact ya political image katika masuala hayo kama nchi?Mi naona Kenya wako vizuri, hawajataka kurupuka kweye kitu ambacho si kweli na tusi halimuachii mtu lawama
Hujui International diplomacy zinafanywa vipi rafiki. Hapo inaonesha kabisa jinsi kenya mlivyo. Siyo wajibu wenu wa kuwajibia wamarekani. Iwe uongo au ukweli.Hehehehe.... Mitanzania bana, wafuata mikumbo na kujaribu kuonekana hata nyie mpo, watu kama nyie ndio mnasababisha bora tuitwe sithole kabisa.
Hadi sasa hamna audio recording au ushahidi wowote kwamba Trump alitukana Afrika rasmi, yote ni dezo dezo za backstage rumors. Ikulu ya Marekani imetoa tamko na haijakiri chochote, sasa Miafrika tukianza kujifanya eti tumekerwa sana, mbona tusifanye kweli na kuwafukuza Wamarekani kutoka nchi zetu na kufunga balozi zao.......pambavu tu hamna lolote.
Japo pia kiana nahisi tunafaa kuitwa zaidi ya shithole hususan tunaotafuna binadamu kisa ni albino eti watatuongezea utajiri na kushinda kwenye uchaguzi.
Hakusema hivyo alisema Africa countries ni shitholes. Hebu jaribu kujitetea tena na mambo yako. Kenyans kichwani mpo zero.Trump alisema 'some African countries' so sioni why the big deal na kiraithe's statement..... Afu tena hapo chini amesema wazi they are studying Trump's statement to see if it requires some attention
Kenya ni Vibaraka wa wazungu, hii imepelekea kuwa watumwa wa fikra, poor KenyaHehehehe.... Mitanzania bana, wafuata mikumbo na kujaribu kuonekana hata nyie mpo, watu kama nyie ndio mnasababisha bora tuitwe sithole kabisa.
Hadi sasa hamna audio recording au ushahidi wowote kwamba Trump alitukana Afrika rasmi, yote ni dezo dezo za backstage rumors. Ikulu ya Marekani imetoa tamko na haijakiri chochote, sasa Miafrika tukianza kujifanya eti tumekerwa sana, mbona tusifanye kweli na kuwafukuza Wamarekani kutoka nchi zetu na kufunga balozi zao.......pambavu tu hamna lolote.
Japo pia kiana nahisi tunafaa kuitwa zaidi ya shithole hususan tunaotafuna binadamu kisa ni albino eti watatuongezea utajiri na kushinda kwenye uchaguzi.
My friend issue siyo kuhisi bali ni international political image. Mambo mengine siyo ya kushabikia kichadema chadema.Ukihisi wewe ni shithole hakika ni shithole
Look at this shitholian! 😀😀😀Kenya ni Vibaraka wa wazungu, hii imepelekea kuwa watumwa wa fikra, poor Kenya
Hivi una uhakika Trump alitamka hayo maneno?My friend issue siyo kuhisi bali ni international political image. Mambo mengine siyo ya kushabikia kichadema chadema.
Wewe unahakika hajatamka?Hivi una uhakika Trump alitamka hayo maneno?
No surprise. It is difficult to change from a donkey to a horse.View attachment 679521
Government Spokesman Eric Kiraithe has said Kenya has no problem with an obscene word used by US President Donald Trump to describe African countries and Haiti.
Mr Kiraithe on Thursday told journalists that the statement by President Trump were not directed to Kenya.
“The statement was not an official matter that, say, is related to the relationship with the government. We enjoy a cordial relationship.
“We are studying the context in which these statements were made and see whether it is worth the attention,” he said.
MORE:Kenya reacts to Trump ‘racist’ remarks
My take:
Hapana chezea mental slavery. Yaani unatukanwa we unachekea tu.
Nina uhakika hajasema maana hakuna uthibitisho wa audio au videoWewe unahakika hajatamka?