Msemaji wa Serikali ya Kenya, Cyrus Oguna akutwa na Virusi vya Corona

Hongera sana kwa ujasiri wa serikali yetu kuendelea kuweka wazi, hii imetupea ujasiri kama wananchi na kuunga juhudi za serikali na kuwa kimoja, tusijichokee jameni, tuendelee kupima kupima kupima, nchi hii hatupo dhaifu.
Hongera Kwa kupima pima Pima! Ili zitumike test kits nyingi sana na ili manyang'au wenye meno wale ten percent nyingi sana maana kila test kit moja inayonunuliwa (Kwa kutumia pesa za mkopo zitakazolipwa na ribs juu na manyang'au wadogo wasiokuwa na meno kama MK254) manyang'au wenye meno wanapata ten percent!
 
Jambo ilifanya Tanzania ilijulikana na ulimwengu mzima kwa ujinga ni hili Sasa🤣🤣🤣🤣.

Kama huko hakuna ugonjwa, ni kwanini ndege zenu haziwezi ingia Kenya?

Pengine wenye wanaishi TZ Ni robots sio binadamu wa Kawaida kama wengi.
 
Acha uongo wewe hospitali gani TZ imefukuza mtz anayetaka kupima? Mbona kuna watz wengi tu wanapima wakitaka kusafiri nje ha nchi! Nyinyi endeleeni tu na Corona yenu itawanyoosha sana nyinyi kunyaland.
 
Nyinyi endeleeni kufa na corona tu huko!
 
Nyinyi endeleeni kufa na corona tu huko!
Before you open your mouth think twice. Even 2018/19 people were dying each and every day.

Pia huko kwa Magufuli watu wanakufa kila siku na ata huku ni the same,, ile kitu iko,, sio kila mtu mwenye amekufa tunasema ati ameuliwa na corona..apana!!..
 
Before you open your mouth think twice. Even 2018/19 people were dying each and every day.

Pia huko kwa Magufuli watu wanakufa kila siku na ata huku ni the same,, ile kitu iko,, sio kila mtu mwenye amekufa tunasema ati ameuliwa na corona..apana!!..
You ass don't quote me with your poor swahili language!
 
You ass don't quote me with your poor swahili language!
Out of topic.
I don't care about this Swahili of yours.. n BTW hakuna pahali hii lugha yako itakupeleka ata ukiangalia president wenu utajua kiswahili ni lugha ya washamba tu.


Ukielewa venye nimesema sina lingine na Swahili yenu.
 
Out of topic.
I don't care about this Swahili of yours.. n BTW hakuna pahali hii lugha yako itakupeleka ata ukiangalia president wenu utajua kiswahili ni lugha ya washamba tu.


Ukielewa venye nimesema sina lingine na Swahili yenu.
Slavery mentality thus why you are called nyang'ao!!
 
Halafu bado wanataka kuleta ndege zao Bongo kweli kama nchi nzimavmpaka viongozi wakuu wameathitika na Corona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…