Hapimwi kila mtu, kunao mpaka leo wanaona corona kwenye TV wala hawana habari nayo, hususan vijijini kule hawana habari kabisaa, sasa hamna haja kuwafuata unakwenda kuwapima.
Tunapima targeted individuals
- Waliohusiana au kukaribiana na waathirika
- Wahudumu wa mahoteli, wauguzi na madaktari n.k.
- Na yeyote mwingine mwenye ujasiri wa kutaka kuifahamu hali yake.
- Kuna baadhi ya hospitali ambazo zinapima corona kwanza kabla kukutibu chochote kilichokupeleka huko, sio kama nyie mnaosemekana kuwafukuza wanaonyesha dalili za corona hospitalini, eti hamtaki aibu ya kutajwa na mgnjwa wa corona, hivyo kila anayeumwa inabidi ajifiche ndani.