Msemaji wa Simba S.C Haji Manara, simuelewi kabisa!

Msemaji wa Simba S.C Haji Manara, simuelewi kabisa!

mwenye jembe
mwenye panga
mwenye shoka
mwenye koleo
tukutane bunju tukaandae uwanja wa nyasi bandia
 
Iwapo utaiangalia kwa umakini hii picha,utatambua kwanini yule jamaa amekosa busara
 

Attachments

  • 1434057861691.jpg
    1434057861691.jpg
    10.8 KB · Views: 460
huyu jamaa huwa anampiga mke wake mpaka majirani wanaona huruma, alishawahi kwenda jela kwa issue ya kutapeli magari.

Kipindi kile anafanya uchambuzi feki tbc anamuingilia na kumnyima mwalimu kashasha nafasi ya kuongea ilikuwa kituko
ila kituko zaidi ni klabu yangu ya simba kumpa cheo..
 
ana background ya waandishi kwa kuwa ni mwandishi ana wa handle with care
 
Huyu Bwana alikuwa Katibu Mwenezi CCM akafanya utapeli hivi vilabu navishangaa sana kwa kuchukua watu wenye record mbaya na kuwapa nafasi za uongozi.
 
Hii timu ya mchangani imeshapoteza dira siku nyingi
 
Habari wakuu.

Nimpenzi na mdau wa mpira hasahasa wa Tz, nimekuwa nikipata tabu sanaaaa juu ya utendaji kazi wa msemaji wa simba bwana Haji Manara, ana kiburi sanaaa, jeuri na dharau kubwa sanaaa kwa waandishi wa habri na wanachama pia.

Ukitaka kuprove haya muone live au msikie hakiojiwa, naandika hili baada ya kumsikia leo kila swali akiulizwa (magic fm) yeye ujibu nitawaambia, imeniuma sanaaa.

Tunakuelekea sasa.
1. Wapenzi wengi wa mpira (simba) watapungua sanaa, kwan utendaji wake sio wanasimba wote wanaupenda.

2. Mpira wa bongo kukosa radha kabisa hasa simba, na kusababisha mapato ya simba kushuka.

3. Simba kukosa wadhamini, watu wenye busara kuisaidia kwani yeye ni kaimu katibu wa simba.

4. Clouds fm (sport extra/bar) hawamuoji kabisa mtu huyu sijui kwanini, mambo ya simba huuliza wengine.

Mwisho ni busara kutumika kumshauri huyu manara kuwa na staa katika mpira, nakutambua uongozi ni kipaji. Zaidi pita kwenye vigenge vya simba wanaumia sanaaaa.

Simba Tazameni, upande wa pili msemaji wao anambwebwe sana, lakini hana dhiaka kwa waandishi wa habari.

Kwani lazima ahojiwe na Clouda FM? Kwani hata Zakaria HP hao Clouds wamewahi kumuhoji mara ngapi? Si wamemuhoji juzi tu hapa kama mwezi mmoja uliopita tena baada ya kumjia juu Shaffih Dauda kuwa anaandika au kutangaza vitu kwa kusikiliaza upande mmoja bila ku-balance story. Ntajie kiongozi au viongozi wa SSC ambao huojiwa na Clouds FM.


Hakuna Mwana-Simba SC ataacha kwenda uwanjani kwa sababu ya Hajji Manara, labda iwe kwa sababu ya mambo mengine

Labda kama wewe sio mwana-Simba, ila sie anatufaa huyu huyu Hajji Manara.
 
huyu jamaa huwa anampiga mke wake mpaka majirani wanaona huruma, alishawahi kwenda jela kwa issue ya kutapeli magari.

Kipindi kile anafanya uchambuzi feki tbc anamuingilia na kumnyima mwalimu kashasha nafasi ya kuongea ilikuwa kituko
ila kituko zaidi ni klabu yangu ya simba kumpa cheo..

Kumpiga mke wake inahusiana vipi na kazi yake? Sheria ichukue mkondo wake.

Hizo ni chuki binafsi kusema kuwa alifanya UCHAMBUZI FEKI pale TBC, sidhani kama wanamichezo wengine watakubaliana na wewe kuwa alifanya uchambuzi feki.
 
Kumpiga mke wake inahusiana vipi na kazi yake? Sheria ichukue mkondo wake.

Hizo ni chuki binafsi kusema kuwa alifanya UCHAMBUZI FEKI pale TBC, sidhani kama wanamichezo wengine watakubaliana na wewe kuwa alifanya uchambuzi feki.
vipi ya kukodisha magari ya watu na kuyauza? damn it,acha kutuharibia simba yetu,spokesman mbovu kabisa bora hata simba imuajiri masau bwire
 
huyu jamaa huwa anampiga mke wake mpaka majirani wanaona huruma, alishawahi kwenda jela kwa issue ya kutapeli magari.

Kipindi kile anafanya uchambuzi feki tbc anamuingilia na kumnyima mwalimu kashasha nafasi ya kuongea ilikuwa kituko
ila kituko zaidi ni klabu yangu ya simba kumpa cheo..

Basi busara itumike sasa juu ya utendaji wake, simba sasa ndio acting katibu.
 
Back
Top Bottom