demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Nimeona, nimemshuhudia na kumuona kutoka kila Angle na kufikia tamati kuwa Ahmed Ally amepwaya sana katika nafasi ile.
Yaani ukijaribu kumsikiliza kwa umakini unaona kabisa anajaribu kuforce kupita katika njia ile ya Haji Manara. Kiasi kwamba anaharibu hata identity yake ambayo amekuwa akijulikan anayo.
Hata ukimsikiliza kwa makini tena utagundua anamatamanio na mshawasha mkubwa wa kujitengenezea brand mpya tofauti na ile aliyo jijengea akiwa AZAM TV.
Nadhani Klabu ya simba ilikaa muda mrefu pasi na kuwa na msemaji/mkuu wa kitengo cha habari kutokana na kukosekana na mtu wa aina hiyo kwenye potential ya kuziba pengo la Manara na kufanya mashabiki wamsahau kabisa.
Ujio wake umekuwa wa lolote na liwe kwakuwa hata viongozi wanaonekana kumtenga kiaina fulani hivi kwa sababu wamemuona hana potential ya kuipa hadhi cheo kile.
Ataendelea kuwapo pale ili tu ile nafasi isiwe wazi.
Na sio kwasababu kazi yake inakidhi matakwa na mahitaji ya klabu kwa namna ambavyo Manara alikuwa akifanya.
Bela Ciao.
Yaani ukijaribu kumsikiliza kwa umakini unaona kabisa anajaribu kuforce kupita katika njia ile ya Haji Manara. Kiasi kwamba anaharibu hata identity yake ambayo amekuwa akijulikan anayo.
Hata ukimsikiliza kwa makini tena utagundua anamatamanio na mshawasha mkubwa wa kujitengenezea brand mpya tofauti na ile aliyo jijengea akiwa AZAM TV.
Nadhani Klabu ya simba ilikaa muda mrefu pasi na kuwa na msemaji/mkuu wa kitengo cha habari kutokana na kukosekana na mtu wa aina hiyo kwenye potential ya kuziba pengo la Manara na kufanya mashabiki wamsahau kabisa.
Ujio wake umekuwa wa lolote na liwe kwakuwa hata viongozi wanaonekana kumtenga kiaina fulani hivi kwa sababu wamemuona hana potential ya kuipa hadhi cheo kile.
Ataendelea kuwapo pale ili tu ile nafasi isiwe wazi.
Na sio kwasababu kazi yake inakidhi matakwa na mahitaji ya klabu kwa namna ambavyo Manara alikuwa akifanya.
Bela Ciao.