GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #61
Mimi ndiyo GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na hakuna wala hatotokea mwingine hapa JamiiForums na ndiyo maana Nachukiwa na Wapumbavu wengi ila napandwa na naheshimika na Werevu wachache kama Wewe na Wenzako baadhi.Genta Huyu jamaa anajua vitu vingi sana asee....Hatimaye Leo yametimia
Werevu Wachache kama Wewe ndiyo huwa mnanielewa GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila Mipumbavu mingi kama huyo Kitimoto kamwe haitonielewa na itaendelea tu Kunichukia na Kunihubiria mabaya wakidhani Wananishusha Umaarufu wangu wakati kumbe ndiyo Kwanza wananipaisha mpaka nakuwa talk of the Town na talk of the Forum pia.Wana mchukulia mleta mada Kama n "ntu ya kuja" genta anajua mambo mengi TU sema uandish wake wengi ndio huwa hawapendezi nao
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wana mchukulia mleta mada Kama n "ntu ya kuja" genta anajua mambo mengi TU sema uandish wake wengi ndio huwa hawapendezi nao
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile appumeona
Uko vizuri Mzee baba.Huwa nakuelewa sana na Nyuzi zakoMimi ndiyo GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na hakuna wala hatotokea mwingine hapa JamiiForums na ndiyo maana Nachukiwa na Wapumbavu wengi ila napandwa na naheshimika na Werevu wachache kama Wewe na Wenzako baadhi.
Ninamshukuru Mwenyezi Mungu kwa Shani ( Tunu ) yake ya Kutukuka Kwangu Mimi na sina cha Kumlipa zaidi tu ya kusema Asante Kwake na Ninampenda.
Yeye BVR bado siku ngapi?Werevu Wachache kama Wewe ndiyo huwa mnanielewa GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila Mipumbavu mingi kama huyo Kitimoto kamwe haitonielewa na itaendelea tu Kunichukia na Kunihubiria mabaya wakidhani Wananishusha Umaarufu wangu wakati kumbe ndiyo Kwanza wananipaisha mpaka nakuwa talk of the Town na talk of the Forum pia.
Amina na Ubarikiwe Mkuu, ila kwakuwa Umenisifia hivi tegemea kuambiwa kuwa hii ID no yangu Mimi GENTAMYCINE na hapa nimejifagilia tu.Uko vizuri Mzee baba.Huwa nakuelewa sana na Nyuzi zako
Hahahah washindwe na walegee.Mimi nakufahamu/nimekufahamu Toka naanza tumia JF.Waache roho mbaya jamaa zetu.Wakubali Una PHD ya uandishi wenye kuvutia na kukonga nyoyo za wasomaji wengi humu ndani kama ndugu yetuAmina na Ubarikiwe Mkuu, ila kwakuwa Umenisifia hivi tegemea kuambiwa kuwa hii ID no yangu Mimi GENTAMYCINE na hapa nimejifagilia tu.
Amina, Asante, Ubarikiwe na Ashukuriwe zaidi Mwenyezi Mungu aliyenipa Kibali na Tunu ( Shani ) hii Tukuka Mkuu.Hahahah washindwe na walegee.Mimi nakufahamu/nimekufahamu Toka naanza tumia JF.Waache roho mbaya jamaa zetu.Wakubali Una PHD ya uandishi wenye kuvutia na kukonga nyoyo za wasomaji wengi humu ndani kama ndugu yetu
Mshana Jr
Yule sacko mnaemuamin atakuja kuwa hawa hawa akina mugalu au lwanga kutegemea atakua zaid ya pale ni kujpa moyo na kupoteza muda tu ,mtu ambae anaweza kubadilika akipata wachezaji wazur kidogo banda sacko mbinafs ana hasara nyng kuliko faida kama kutakua na ulazima aachwe tu atafutwe mwingne hawa wachezaji mechi moja wazur tano amna ktu mwsho Ndio unamalza msimu na kombe la mapinduzYaani kwa wachezaji wa Kigeni wa kubalia pale ni 5 tu tena kwa makubaliano maalum
1 Sakho - aache papara, muda wa kutoa pasi hatoi anakimbia kimbia hovyo tu - tutabaki naye ila akubali kujifunza, no gurantee ya number - ataipigania
2. Bwaya, huyu abakie kaonyesha uhai
3. Peter Banda - huyu abakie kwa umri wake ana room ya kujifunza zaidi - hakuna gurantee ya number aipiganie.
4. Chama tumvumilie kwa msimu mmoja atuonyeshe kitu - akishindwa atasugua benchi.
5. Inonga - hili jembe letu.
WENGINE WOTE MA PRO - FUKUZA - FUKUZA
Tafuta Mido mbili za hatari za kusaidiana na Mkude.
Tafuta Beki 2 za kati - zile za kazi kazi za kusaidiana na Inonga
Tafuta Striker moja matata sana ambaye pasi moja kaukamiza - ili atasaidiana na FAZA boko.
Mchezaji wa kuangalia - Mwanuke - ana kipaji anajituma, Simba wekeni jicho hapo.
Kwisha habari.
Simba oyeeeeeeee
Barbara anaondoka lini?Amina, Asante, Ubarikiwe na Ashukuriwe zaidi Mwenyezi Mungu aliyenipa Kibali na Tunu ( Shani ) hii Tukuka Mkuu.
Mama angu anaitwa GENTAMYCINEKama 'Mamaako' vile.
Eti TAFUTA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kwa wachezaji wa Kigeni wa kubalia pale ni 5 tu tena kwa makubaliano maalum
1 Sakho - aache papara, muda wa kutoa pasi hatoi anakimbia kimbia hovyo tu - tutabaki naye ila akubali kujifunza, no gurantee ya number - ataipigania
2. Bwaya, huyu abakie kaonyesha uhai
3. Peter Banda - huyu abakie kwa umri wake ana room ya kujifunza zaidi - hakuna gurantee ya number aipiganie.
4. Chama tumvumilie kwa msimu mmoja atuonyeshe kitu - akishindwa atasugua benchi.
5. Inonga - hili jembe letu.
WENGINE WOTE MA PRO - FUKUZA - FUKUZA
Tafuta Mido mbili za hatari za kusaidiana na Mkude.
Tafuta Beki 2 za kati - zile za kazi kazi za kusaidiana na Inonga
Tafuta Striker moja matata sana ambaye pasi moja kaukamiza - ili atasaidiana na FAZA boko.
Mchezaji wa kuangalia - Mwanuke - ana kipaji anajituma, Simba wekeni jicho hapo.
Kwisha habari.
Simba oyeeeeeeee
🦁 HoiiiiiYaani kwa wachezaji wa Kigeni wa kubalia pale ni 5 tu tena kwa makubaliano maalum
1 Sakho - aache papara, muda wa kutoa pasi hatoi anakimbia kimbia hovyo tu - tutabaki naye ila akubali kujifunza, no gurantee ya number - ataipigania
2. Bwaya, huyu abakie kaonyesha uhai
3. Peter Banda - huyu abakie kwa umri wake ana room ya kujifunza zaidi - hakuna gurantee ya number aipiganie.
4. Chama tumvumilie kwa msimu mmoja atuonyeshe kitu - akishindwa atasugua benchi.
5. Inonga - hili jembe letu.
WENGINE WOTE MA PRO - FUKUZA - FUKUZA
Tafuta Mido mbili za hatari za kusaidiana na Mkude.
Tafuta Beki 2 za kati - zile za kazi kazi za kusaidiana na Inonga
Tafuta Striker moja matata sana ambaye pasi moja kaukamiza - ili atasaidiana na FAZA boko.
Mchezaji wa kuangalia - Mwanuke - ana kipaji anajituma, Simba wekeni jicho hapo.
Kwisha habari.
Simba oyeeeeeeee