Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally hiyo Barua ya Kumfuta Kazi Kocha Mkuu Pablo unairusha lini? au Hasira zetu tuzianzie Kwako mjue mmetukera?

Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally hiyo Barua ya Kumfuta Kazi Kocha Mkuu Pablo unairusha lini? au Hasira zetu tuzianzie Kwako mjue mmetukera?

Hasira zangu zinaenda kwa Watu hawa Wafuatao....

1. Mwenyekiti Mangungu
2. CEO Barbara
3. Kocha Msaidizi Matola
4. Meneja Rweymamu
5. Mratibu Abbas
6. Kocha Mkuu Pablo

Kuna Watu Wanne tajwa hapa ni 'Virusi Waandamizi' ndani ya Klabu ya Simba na ndiyo kwa 99% wametumika 'Kuihujumu' Simba SC kwa kutoa 'Siri' za Klabu na Mipango yote kwa Wapinzani wetu huku wakilipwa Mamilioni na Kampuni ya Tapeli iliyo na Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta Mpya.

Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally tunawapeni hadi Jumatano muwe mmeshatangaza rasmi Kuachana na Kocha Pablo na kumpa Timu Kocha wa muda (mwenye Uchungu na Simba SC) ili azimalizie hizi Mechi za Ligi Kuu ya NBC zilizobakia.

Sijawahi kupandwa na Hasira kama Juzi.
Vipi ile mechi GSM walitembeza bahasha kwa nani pale simba?
 
Hv nyie Makolo mlikaa kabisa mkiwaza muifunge Yanga hii, kwa kikosi/Timu gani mliyokuwanayo Hali ya kuwa Geita Gold tu mmewashindwa. Kwanza mna Miaka mingapi hamjamfunga Yanga..?
Kweli nyie ni Makolo, mlistahili zaidi ya kile kipigo
 
Wewe jamaa punguza malalamiko na lawama zisizo na msingi.juzi ulileta uzi kuhusu kakolanya kufanyiwa hujuma asidake matokeo yake yeye ndiye aliyedaka na akafungwa,lakini pia kwa mechi ya juzi hakuna wa kumtupia lawama maana hali ya kikosi inajulikana.Sasa kama uliwaza simba iifunge yanga utakua na matatizo kwasababu kwa kikosi cha yanga kilivyokua timilifu ilikua lazima simba afungwe,ambacho angeweza simba ni kupunguza idadi ya magoli tuwapongeze ata kwa hilo.Sio kila mara kutoa lawama tu utafikiri timu inakiwango cha kutisha kumbe kawaida tu.
 
Kocha hamna kitu humo, mkabidhini matola amalizie mechi zilizobakia - huyo mspaniola aende zake - hatumtaki.

Uchebe pira tuliliona
Gomes pira tuliliona

Sasa huyu jamaa hamna kitu, timu imemshinda - wachezaji hawajitumi - aende.
Gomes alianza vibaya na Simba. Tena vibaya sana tu.

Kuna msimu ambao mkude akiwa ndani, Shiboub anapasha. Kanda akianza Kahata atamaliza.

Msimu huu, Sakho na Kibu wakianza, nje kuna Mhilu na Mwanuke.

Simba na board yake ya usajiri walianza kumfelisha Gomes mapema kabla ya kuja kumalizia kwa Pablo.
 
Tuliposema mwaka huu mtaongea maneno ya rangi zote kwa sababu mwekezaji wenu ni wa mchongo hamkuelewa mkaziba masikio.Aya sasa maumivu halisi ndo hayo kunyweni
 
Unaweza ukakuta unakazwa wewe na kibamia chako hicho!
Hiki hiki Kibamia changu ndiyo huwa kinamkuna vilivyo aliyekuleta duniani hadi Ananihonga Pesa na tena huwa anakikatikia kwa Nguvu zote.
 
Hasira zangu zinaenda kwa Watu hawa Wafuatao....

1. Mwenyekiti Mangungu
2. CEO Barbara
3. Kocha Msaidizi Matola
4. Meneja Rweymamu
5. Mratibu Abbas
6. Kocha Mkuu Pablo

Kuna Watu Wanne tajwa hapa ni 'Virusi Waandamizi' ndani ya Klabu ya Simba na ndiyo kwa 99% wametumika 'Kuihujumu' Simba SC kwa kutoa 'Siri' za Klabu na Mipango yote kwa Wapinzani wetu huku wakilipwa Mamilioni na Kampuni ya Tapeli iliyo na Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta Mpya.

Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally tunawapeni hadi Jumatano muwe mmeshatangaza rasmi Kuachana na Kocha Pablo na kumpa Timu Kocha wa muda (mwenye Uchungu na Simba SC) ili azimalizie hizi Mechi za Ligi Kuu ya NBC zilizobakia.

Sijawahi kupandwa na Hasira kama Juzi.
Kwanza mjiulize ni nani aliyesema kibu usajiki wake ulighatimu 240m na kumbe 40m tu?
 
Hv nyie Makolo mlikaa kabisa mkiwaza muifunge Yanga hii, kwa kikosi/Timu gani mliyokuwanayo Hali ya kuwa Geita Gold tu mmewashindwa. Kwanza mna Miaka mingapi hamjamfunga Yanga..?
Kweli nyie ni Makolo, mlistahili zaidi ya kile kipigo
Kutembeza mkwanja ila ikashindikana kwa wachezaji wa Utopolo
 
Hasira zangu zinaenda kwa Watu hawa Wafuatao....

1. Mwenyekiti Mangungu
2. CEO Barbara
3. Kocha Msaidizi Matola
4. Meneja Rweymamu
5. Mratibu Abbas
6. Kocha Mkuu Pablo

Kuna Watu Wanne tajwa hapa ni 'Virusi Waandamizi' ndani ya Klabu ya Simba na ndiyo kwa 99% wametumika 'Kuihujumu' Simba SC kwa kutoa 'Siri' za Klabu na Mipango yote kwa Wapinzani wetu huku wakilipwa Mamilioni na Kampuni ya Tapeli iliyo na Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta Mpya.

Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally tunawapeni hadi Jumatano muwe mmeshatangaza rasmi Kuachana na Kocha Pablo na kumpa Timu Kocha wa muda (mwenye Uchungu na Simba SC) ili azimalizie hizi Mechi za Ligi Kuu ya NBC zilizobakia.

Sijawahi kupandwa na Hasira kama Juzi.
Ktk orodha umesahau jina la Dr Khanjibai, huyu naye katuharibia sana team yetu, ongeza jina hilo tafadhali.
 
Yaani kwa wachezaji wa Kigeni wa kubalia pale ni 5 tu tena kwa makubaliano maalum

1 Sakho - aache papara, muda wa kutoa pasi hatoi anakimbia kimbia hovyo tu - tutabaki naye ila akubali kujifunza, no gurantee ya number - ataipigania
2. Bwaya, huyu abakie kaonyesha uhai
3. Peter Banda - huyu abakie kwa umri wake ana room ya kujifunza zaidi - hakuna gurantee ya number aipiganie.
4. Chama tumvumilie kwa msimu mmoja atuonyeshe kitu - akishindwa atasugua benchi.
5. Inonga - hili jembe letu.

WENGINE WOTE MA PRO - FUKUZA - FUKUZA

Tafuta Mido mbili za hatari za kusaidiana na Mkude.
Tafuta Beki 2 za kati - zile za kazi kazi za kusaidiana na Inonga
Tafuta Striker moja matata sana ambaye pasi moja kaukamiza - ili atasaidiana na FAZA boko.

Mchezaji wa kuangalia - Mwanuke - ana kipaji anajituma, Simba wekeni jicho hapo.

Kwisha habari.

Simba oyeeeeeeee
foward za kimataifa zinatakiwa ziwe mbili mkuu ambao wote ni aggressive
 
Gomes alianza vibaya na Simba. Tena vibaya sana tu.

Kuna msimu ambao mkude akiwa ndani, Shiboub anapasha. Kanda akianza Kahata atamaliza.

Msimu huu, Sakho na Kibu wakianza, nje kuna Mhilu na Mwanuke.

Simba na board yake ya usajiri walianza kumfelisha Gomes mapema kabla ya kuja kumalizia kwa Pablo.
Muondoe kibu hapo ktk hiyo orodha, yule dogo bonge la mchezaji ndugu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom