Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa makini sana kwa sasa kwani umeshaingizwa katika 18 baada ya Mtego na Umeshashtukiwa

Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa makini sana kwa sasa kwani umeshaingizwa katika 18 baada ya Mtego na Umeshashtukiwa

Kama kuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ninawapongeza Yanga SC kwani Wamekiweza na Kinawasaidia mno ni Kupenyeza Watu wao HATARI ndani ya Simba SC ( tena Jikoni kabisa ) halafu Waliopenyezwa nao kuwa Wasanii ( Waigizaji ) kwa kujifanya ni wana Simba SC na Wanaifia sana Timu kumbe nyuma ya Pazia wanatoa Ramani zote za Vita kwa Adui na Timu ikifungwa mbele ya Media wanajifanya Kuumia na Kusikitika ila wakiwa tu Mafichoni Kwao pale Gwambina ( zamani TCC Club Chang'ombe ) wanaanza Kucheka, Kukata Viuno na Misebene ya Kikongo huku Gari aina ya ALPHARD Nyeusi ya Ofisini kwa Tajiri Posta Juu Ghorofani ikileta Fedha kwa Kazi nzuri ya USALITI na KUTUUMIZA wana Simba SC huku Kinafiki / Kiunafiki ukijifanya uko pamoja nasi.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya

Nimemaliza.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Acha uchochezi..unahaha.
Jipangeni mshinde next time...

Hisia haziwasaidii kitu..
 
Kama kuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ninawapongeza Yanga SC kwani Wamekiweza na Kinawasaidia mno ni Kupenyeza Watu wao HATARI ndani ya Simba SC ( tena Jikoni kabisa ) halafu Waliopenyezwa nao kuwa Wasanii ( Waigizaji ) kwa kujifanya ni wana Simba SC na Wanaifia sana Timu kumbe nyuma ya Pazia wanatoa Ramani zote za Vita kwa Adui na Timu ikifungwa mbele ya Media wanajifanya Kuumia na Kusikitika ila wakiwa tu Mafichoni Kwao pale Gwambina ( zamani TCC Club Chang'ombe ) wanaanza Kucheka, Kukata Viuno na Misebene ya Kikongo huku Gari aina ya ALPHARD Nyeusi ya Ofisini kwa Tajiri Posta Juu Ghorofani ikileta Fedha kwa Kazi nzuri ya USALITI na KUTUUMIZA wana Simba SC huku Kinafiki / Kiunafiki ukijifanya uko pamoja nasi.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku ( ignore ) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA / HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya

Nimemaliza.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Simba 1 : 5 yanga.
Hii kitu inavuruga sana ubongo
 
Kosa la Ahmed Ally lilikuwa ni kumtaja Kibu Denis ndio mgeni rasmi. Na Yanga wakatengua fumbo kuwa Kibu ndiye atakayevalishwa kizizi cha ushindi wa Simba.

Hivyo wachezaji wa Yanga walielekezwa wamuumize ili asiendelee na mechi.
kilichotokea baadaya Kibu kutolewa uwanjani baada ya kuumizwa. Ni magoli mepesi kumiminika hadi yakafika 5G

Poleni. Yanga ilishinda kwa nguvu za tunguli, huyo kocha mnamtimua akiwa wala hana hatia.
Hahahahahahahahahahahahahahahaha.....
 
Bado hamjasema....🤣🤣🤣
 
Mimi kwa mtazamo wangu msemaji wa simba namchukulia kama mtu asiejielewa tu. Simba wameweka msemaji asiejua kitu.
Vitu anavyoongeaga ni kama mwezi mteke.kazi inayomfaa hapo simba ni kufua, kuweka vuzuri jezi za wachezaji. Yaani sio mtu wa kumuruhusu kuongea kwenye watu wenye akili zao za kutafakali mambo. Anatia aibu.
 
Kwaiyo Ahmedy Ally ndiye msaliti au kuna watu wengine waliyojipenyeza Simba? be more specific.

Sema Siku ile baada ya kipigo aliyoyapost insta ni kama hakuumizwa, utani ulikuwa mwingi sana!!
Mshikaji kaajiriwa Simba Ila tangu B4 Ni shabiki wa uto kwa matendo na muonekano.
 
Kosa la Ahmed Ally lilikuwa ni kumtaja Kibu Denis ndio mgeni rasmi. Na Yanga wakatengua fumbo kuwa Kibu ndiye atakayevalishwa kizizi cha ushindi wa Simba.

Hivyo wachezaji wa Yanga walielekezwa wamuumize ili asiendelee na mechi.
kilichotokea baadaya Kibu kutolewa uwanjani baada ya kuumizwa. Ni magoli mepesi kumiminika hadi yakafika 5G

Poleni. Yanga ilishinda kwa nguvu za tunguli, huyo kocha mnamtimua akiwa wala hana hatia.
Duh!....
 
Kama kuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ninawapongeza Yanga SC kwani Wamekiweza na Kinawasaidia mno ni Kupenyeza Watu wao HATARI ndani ya Simba SC (tena Jikoni kabisa) halafu Waliopenyezwa nao kuwa Wasanii (Waigizaji) kwa kujifanya ni wana Simba SC na Wanaifia sana Timu kumbe nyuma ya Pazia wanatoa Ramani zote za Vita kwa Adui na Timu ikifungwa mbele ya Media wanajifanya Kuumia na Kusikitika ila wakiwa tu Mafichoni Kwao pale Gwambina (zamani TCC Club Chang'ombe) wanaanza Kucheka, Kukata Viuno na Misebene ya Kikongo huku Gari aina ya ALPHARD Nyeusi ya Ofisini kwa Tajiri Posta Juu Ghorofani ikileta Fedha kwa Kazi nzuri ya USALITI na KUTUUMIZA wana Simba SC huku Kinafiki/Kiunafiki ukijifanya uko pamoja nasi.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku (ignore) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA/HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya.

Nimemaliza.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Ushamba wako wewe GENTAMYCINE ni kuamini unaujua ujasusi kuliko Yericko Nyerere (Ahahahahaha) na kwamba kila mtu Simba ni msaliti isipokuwa wewe. Huo ni ushamba ndugu sio ujanja. Inawezekana umekuja mjini umechelewa kama akina Juma Lokole! Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom