Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally: Mashabiki wa Yanga SC wasahau kuingia 'Fungulia Mbwa' Nov. 5, 2023

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
"Hawana hela wasije Uwanjani kwa Mkapa na kutia huruma kwa kusimama katika uzio kwani hawatoingia," Ahmed Ally msemaji wa Simba SC alipokuwa hewani mubashara EFM Radio asubuhi ya leo.

Nikiwa kama mwana Yanga SC ambaye sina hela ya kiingilio, ila huwa naenda uwanjani kutegea kuingia fungulia mbwa kwa kutia huruma kwa tangazo hili mujarab la Ahmed Ally nimeamua sitosogea tena pale kwa Mkapa na nitaiangalia kwetu kijijni mafia.
 
Hata Msemaji wa Mbagala market hayuko hivi.
 

Wewe utakuwa shabiki wa kwanza kutoka utopolo mwenye uelewa [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…