Msemaji wa Simba SC ukirejea kutoka Misri tuambie tofauti ya Wewe kusema Tickets SOLD OUT huku N-Card wakisema waliokata Tiketi walikuwa 54,000 tu

Msemaji wa Simba SC ukirejea kutoka Misri tuambie tofauti ya Wewe kusema Tickets SOLD OUT huku N-Card wakisema waliokata Tiketi walikuwa 54,000 tu

Usinilazimishe Nikudharau sawa Mkuu? Hivi Mathematically 60,000 ni sawa na 54,000? Nachukia mno Watu wasiojua Kufikiri.
Kwa kweli kuna watu wanataka kudharaulika. Uwanja unaojaza watu 60000 unaweza kuingiza watu 65000 kutokana na Vibe wengi wakasimama na hutaona tatizo lolote. Sasa Mtu anaposema nafasi 6000 zimeachwa ili kupunguza msongamano kwenye uwanja ni dhahiri hajui maana ya msongamano.
 
Kumbuka

Kumbuka hii ni mechi ya ufunguzi wa kombe kubwa zaidi ngazi ya klabu barani Africa. Ni mechi iliyokuwa na wageni waalikwa wengi, na Simba kupitia semaji walisema wazi kabisa Ticket za VIP A hazitauzwa, Bali ni maalumu kwa ajili ya wageni. Na hata takwimu za sold out hazionyeshi mauzo ya VIP A
Kulikuwa na wageni 6000? Au 6000/=?
 
Watu 59900 kuweka reserve siti 100, mhh kimahesabu sio sawa, kumbuka mchezo huu ulikuwa chini ya caf so kila kitu kili ratibiwa, sie watu wa njaa tusingeweza sema space full na watu wakakosa tiket wakat kuna seats empty 6000, kuna regulation walizizingatia hasa uwanja huu hauna siti namba tabu ilianzia hapo, kama kila tiket ingekuwa na address ya kiti chako cha kwenda kukaa, geti gani upite, row gani uingie bas reserve ya siti 100 ingekuw sawa kabisa, caf hawakutaka makosa, jumanne simba vs alahly mashabiki 30,000 tu caf wamesema waingie uwanjani sabau za kiusalama, unaelewa hapo? Caf wana regulation zao za kiusalama kwa nchi na nchi, waarabu ukiwaingiza full then waanze vurugu zao utakuwa mtiti
Umetetea hoja yako walau
 
Msikaze vichwa sana hizo delegation za FA,FIFA,CAF Bado kuna mialiko au mnahisi hao walikaa wapi msilazishe vitu vingine viko wazi
Kwa hiyo unataka kutuambia hiyo delegation ilikuwa na watu elfu sita? Mbumbumbu nyie.
 
Back
Top Bottom