Kwa kweli kuna watu wanataka kudharaulika. Uwanja unaojaza watu 60000 unaweza kuingiza watu 65000 kutokana na Vibe wengi wakasimama na hutaona tatizo lolote. Sasa Mtu anaposema nafasi 6000 zimeachwa ili kupunguza msongamano kwenye uwanja ni dhahiri hajui maana ya msongamano.Usinilazimishe Nikudharau sawa Mkuu? Hivi Mathematically 60,000 ni sawa na 54,000? Nachukia mno Watu wasiojua Kufikiri.
Hoja haijakosa mashiko, yaani Hakuna hoja kabisa.Siti 100 au hata 1,000 zingetosha kuwa kama reserve ,idadi iliyobaki ni kubwa sana kupelekea hoja yako kukosa mashiko.
Kulikuwa na wageni 6000? Au 6000/=?Kumbuka
Kumbuka hii ni mechi ya ufunguzi wa kombe kubwa zaidi ngazi ya klabu barani Africa. Ni mechi iliyokuwa na wageni waalikwa wengi, na Simba kupitia semaji walisema wazi kabisa Ticket za VIP A hazitauzwa, Bali ni maalumu kwa ajili ya wageni. Na hata takwimu za sold out hazionyeshi mauzo ya VIP A
Umetetea hoja yako walauWatu 59900 kuweka reserve siti 100, mhh kimahesabu sio sawa, kumbuka mchezo huu ulikuwa chini ya caf so kila kitu kili ratibiwa, sie watu wa njaa tusingeweza sema space full na watu wakakosa tiket wakat kuna seats empty 6000, kuna regulation walizizingatia hasa uwanja huu hauna siti namba tabu ilianzia hapo, kama kila tiket ingekuwa na address ya kiti chako cha kwenda kukaa, geti gani upite, row gani uingie bas reserve ya siti 100 ingekuw sawa kabisa, caf hawakutaka makosa, jumanne simba vs alahly mashabiki 30,000 tu caf wamesema waingie uwanjani sabau za kiusalama, unaelewa hapo? Caf wana regulation zao za kiusalama kwa nchi na nchi, waarabu ukiwaingiza full then waanze vurugu zao utakuwa mtiti
We falla ukiongeaga ukweli nakuelewa sana, mjinga kabisa😅Usinilazimishe Nikudharau sawa Mkuu? Hivi Mathematically 60,000 ni sawa na 54,000? Nachukia mno Watu wasiojua Kufikiri.
Kwa hiyo unataka kutuambia hiyo delegation ilikuwa na watu elfu sita? Mbumbumbu nyie.Msikaze vichwa sana hizo delegation za FA,FIFA,CAF Bado kuna mialiko au mnahisi hao walikaa wapi msilazishe vitu vingine viko wazi
Tunaona viwanja vingi ulaya na Duniani kwa ujumla hakunaga kitu kama hiko ambacho anataka kufosi kiwepo.Hoja haijakosa mashiko, yaani Hakuna hoja kabisa.