Wapendwa nimemuona msemaji wa Simba huko YouTube akimtembelea na kumpongeza mzee aliyekuwa na kitochi uwanjani. Hii si sawa kwani anahamasisha vitendo vya utovu wa nidhamu unaoweza kuigharimu timu.
Kesho watu wakija na vitochi zaidi tena vyenye mwanga wenye madhara atafanyaje? Nilitegemea angekemea huo upuuzi lakini ndio kwanza ana uhamasisha.
Brother, wewe ni msemaji wa club kubwa, achana na vitu vya hovyo visivyo na tija.
NB: Niko tayari kwa povu.
Kesho watu wakija na vitochi zaidi tena vyenye mwanga wenye madhara atafanyaje? Nilitegemea angekemea huo upuuzi lakini ndio kwanza ana uhamasisha.
Brother, wewe ni msemaji wa club kubwa, achana na vitu vya hovyo visivyo na tija.
NB: Niko tayari kwa povu.