Msemaji wa Simba unaanza kuharibu

Msemaji wa Simba unaanza kuharibu

Sina sababu na muda wa kuhakiki Kila kitu kinachokuja hapa jukwani nadhani hizo lawama apewe mleta Uzi kwa kupindisha maneno if so. As a responsible member he should have done the due diligence kabla ya kuleta hapa.
Hovyo kabisa, wewe ni kati ya kundi la watz lisilo na muda wa kufanya reasoning. kiufupi wakurupukaji
 
Uko sahihi mleta mada.

Huenda msemaji alikuwa na malengo mengine ila hakufikiria matokeo yake.
Thinking Capacity yake ni ndogo sana. Yeye aliangalia tu mafanikio yaliyopatikana kupitia kitochi bila kujua kuwa kwa kushadadia hilo yeye kama Kiongozi anaiharibia timu yake.
 
Wapendwa nimemuona msemaji wa Simba huko YouTube akimtembelea na kumpongeza mzee aliyekuwa na kitochi uwanjani. Hii si sawa kwani anahamasisha vitendo vya utovu wa nidhamu unaoweza kuigharimu timu.

Kesho watu wakija na vitochi zaidi tena vyenye mwanga wenye madhara atafanyaje? Nilitegemea angekemea huo upuuzi lakini ndio kwanza ana uhamasisha.

Brother, wewe ni msemaji wa club kubwa, achana na vitu vya hovyo visivyo na tija.

NB: Niko tayari kwa povu.
Akili zako zipo vizuri kweli wewe??kwa hizo ulizonazo unafikiri kile kitochi kilikuwa na madhara gani kwa Timu pinzani?? unafikiri ule mwanga wa kitochi ulikuwa mkali kiasi cha kufika Umbali gani kutoka alipokaa aliyekishika??fikirisha ubongo wako kwanza kabla ya kuandika upupu JF
 
Babu kazawadiwa Jezi kwa uzalendo sio lile tochi ambalo halikuwa na uwezo walau wa kufika mia 20 seuze uwanjani

Sema wa Tanzania tunaumia sana Team yako kufungwa kuliko ya Taifa au sijui usikie kuna Richmond sijui Epa sijui escrow…ila Mtu auze mechi team ifungwe utaona hasira zake

Hiyo ndo Tanzania
Naamini toch aliyobeba huyo mzee ndio sababu yayeye kuonekana,angeenda uwanjani bila ile toch hakuna mtu ambaye angeangaika kuongelea huo uzalendo wa huyo mzee.Kwahiyo tusitenganishe toch na alichofanyiwa huyo mzee.
 
Nenda sasa ukaseme wewe ambaye sio hopeless fellow 🤣🤣
Soma uelewe kijana, acha ushabiki kipofu. Ulivyo na akili fupi unadhani kunyamazia ujinga ndio kuisaidia timu. Sisi tunaoshauri ukweli ndio tunaosaidia kwa kuwa tunaiepusha timu isiingie katika matatizo yasiyo ya lazima. Wewe nakufananisha na wale wahuni waliovamia mitandao ya Tottenham hot- spurs na kusambaza matusi yaliyopelekea Samatta kutemwa. Watu tumeishabikia timu wakati hujafikiriwa hata kuzaliwa, wewe umezaliwa juzi unakuja na ushabiki maandazi hapa. Unadhani simba haikuwepo kabla yako wewe mburumundu uliyejaa matusi? Ilikuwepo tena katika mikono salama ya mashabiki wastaarabu kama sisi, na ndio maana ipo hapo ilipo mpaka leo. Siku nyingine uwe na adabu katika kujibu hoja.
Akili zako zipo vizuri kweli wewe??kwa hizo ulizonazo unafikiri kile kitochi kilikuwa na madhara gani kwa Timu pinzani?? unafikiri ule mwanga wa kitochi ulikuwa mkali kiasi cha kufika Umbali gani kutoka alipokaa aliyekishika??fikirisha ubongo wako kwanza kabla ya kuandika upupu JF
 
Akili zako zipo vizuri kweli wewe??kwa hizo ulizonazo unafikiri kile kitochi kilikuwa na madhara gani kwa Timu pinzani?? unafikiri ule mwanga wa kitochi ulikuwa mkali kiasi cha kufika Umbali gani kutoka alipokaa aliyekishika??fikirisha ubongo wako kwanza kabla ya kuandika upupu JF
Mtu mwenyewe unaitwa Mbuzi mawe, unapata wapi uhalali wa kuhoji utimamu wa akili za binadamu?
 
Ulisikia wapi kuwa vitochi vinaleta madhara kwenye mpira? Vitochi vilikuwepo toka enzi hizoo za akina kaseja... na huwa vinatumiwa na mashabiki wa timu zenye malengo kama al hally, zamalek, simba..au timu za taifa zenye malengo kama senegal, misri... we unafikiri kwa mfano utopolo vs polis tz zikicheza unaweza kuona vitochi? Acha semaji liendelee kufanya mambo yake...
Nakazia.
 
Utopolo mnateeseka mkiwa wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Soma uelewe kijana, acha ushabiki kipofu. Ulivyo na akili fupi unadhani kunyamazia ujinga ndio kuisaidia timu. Sisi tunaoshauri ukweli ndio tunaosaidia kwa kuwa tunaiepusha timu isiingie katika matatizo yasiyo ya lazima. Wewe nakufananisha na wale wahuni waliovamia mitandao ya Tottenham hot- spurs na kusambaza matusi yaliyopelekea Samatta kutemwa. Watu tumeishabikia timu wakati hujafikiriwa hata kuzaliwa, wewe umezaliwa juzi unakuja na ushabiki maandazi hapa. Unadhani simba haikuwepo kabla yako wewe mburumundu uliyejaa matusi? Ilikuwepo tena katika mikono salama ya mashabiki wastaarabu kama sisi, na ndio maana ipo hapo ilipo mpaka leo. Siku nyingine uwe na adabu katika kujibu hoja.
We ambaye c shabiki maandazi kawe mbona hukuteuliwa uwe msemajee maana una akili ndefu🤣🤣🤣 na kuzaliwa kwako kitambo, bd unapiga makelel huku c umfate msemaje umwelezeee izo conern zako huku we ni akili fupi tyuuu na hopeless fellow kama sisi 🤣🤣🤣🤣
Usipanic bruh
Tafuta helaa izo panic zitakuuwa
 
Nimeamini kuna watu humu unaweza dhani ni watu makini kumbe utopolo mtupu
 
We ambaye c shabiki maandazi kawe mbona hukuteuliwa uwe msemajee maana una akili ndefu🤣🤣🤣 na kuzaliwa kwako kitambo, bd unapiga makelel huku c umfate msemaje umwelezeee izo conern zako huku we ni akili fupi tyuuu na hopeless fellow kama sisi 🤣🤣🤣🤣
Usipanic bruh
Tafuta helaa izo panic zitakuuwa
Kukuelimisha wewe ni kupoteza muda tu. Unasema nimfuate msemaji, sasa nini kazi ya mtandao huu? Kama yeye hafiki humu, wadau watamfikishia tu, usikonde kijana.
 
Kukuelimisha wewe ni kupoteza muda tu. Unasema nimfuate msemaji, sasa nini kazi ya mtandao huu? Kama yeye hafiki humu, wadau watamfikishia tu, usikonde kijana.
Na unaupoteza kweeli, we tulia 17 c mbali karibu kwa mkapaaa, mzee wakitochi pia atakuwepo🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom