Tetesi: Msemaji wa Vital' O Arsene bucuti anukia usemaji Singida Fountain Gate

Tetesi: Msemaji wa Vital' O Arsene bucuti anukia usemaji Singida Fountain Gate

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
🚨 Transfer News Live:Arsene Bucuti To Fountain Gate🔜

hansrafael14_5af72121024c41599c00989e7d3c8857.jpg

Klabu ya Fountain Gate,iko kwenye mazungumzo ya mwisho kukamilisha usajili wa msemaji wa Vital’O arsene Bucuti.

Singida wamempa ofa ya mkataba wa mika miwili wenye $2500 (tsh 6,721,237) kama Sign-on fee) mshahara wa $1500 (tsh 4,032,742) kwa mwezi,ada ya watoto,nyumba na usafiri kisha ofisi yake itakuwa Dar es salaam.

Mazungumzo yako kwenye hatua za mwisho na muda wowote dili linaweza kukamilika🔜

Fountain gate wanamtaka arsene bucuti kuwa msemaji wao mpya.

Siku hizi ukijua kuyapangilia maneno tuu watu wakafurahi ni mali kuliko hata degree, jamaa katoka kwao Burundi kaja Tanzania kama msemaji wa Vital'O lakini wabongo wamempenda, anakwenda kula mema ya nchi mda sio mrefu.
 
🚨 Transfer News Live:Arsene Bucuti To Fountain Gate🔜

Klabu ya Fountain Gate,iko kwenye mazungumzo ya mwisho kukamilisha usajili wa msemaji wa Vital’O arsene Bucuti.

Singida wamempa ofa ya mkataba wa mika miwili wenye $2500 (tsh 6,721,237) kama Sign-on fee) mshahara wa $1500 (tsh 4,032,742) kwa mwezi,ada ya watoto,nyumba na usafiri kisha ofisi yake itakuwa Dar es salaam.

Mazungumzo yako kwenye hatua za mwisho na muda wowote dili linaweza kukamilika🔜

Fountain gate wanamtaka arsene bucuti kuwa msemaji wao mpya.

SIKUHIZI UKIJUA KUYAPANGILIA MANENO TUU WATU WAKAFURAHI NI MALI KULIKO HATA DEGREE, JAMAA KATOKA KWAO BURUNDI KAJA TZ KAMA MSEMAJI WA VITAL'O LAKINI WABONGO WAMEMPENDA, ANAKWENDA KULA MEMA YA NCHI MDA SIO MREFU
Mwambaaaaa amependwaa kuliooo Yangaa achenintuu kha
 
Back
Top Bottom