Msemaji wa Vital'o kujiuzulu kama wakifungwa na Yanga

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Msemaji wa Timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti @arsene_bucuti amesema iwapo Yanga itaifunga Vital’O kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa atajiuzulu kuwa msemaji wa timu hiyo.

Bucuti ameyasema hayo kwenye kipindi cha radio cha Sports Arena cha Wasafi FM.

Vital’O itawaalika Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Agosti 17, 2024 kwenye Dimba la Azam Complex, Dar es Salaam.
@bintiiringo
#WasafiSports

NB: tunaomba makolo muwape hints kidogo hawa Vital'o​

Pia, soma; News Alert: - Arsene Bucuti, Msemaji wa Vital O ajiuzulu, ni baada ya Kichapo kutonga Yanga Afrika
 
Duu
 
Hivi hawa game zote mbili ndo wanacheza hapa hapa Tz?

Nafkiri jamaa ameathiriwa na wanazi wa Simba wanaowapa matumaini kwamba wanaweza kuitoa Yanga.
Game zote hapa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…