Msemaji wa Vital'o kujiuzulu kama wakifungwa na Yanga

Msemaji wa Vital'o kujiuzulu kama wakifungwa na Yanga

Msemaji wa Timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti @arsene_bucuti amesema iwapo Yanga itaifunga Vital’O kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa atajiuzulu kuwa msemaji wa timu hiyo.

Bucuti ameyasema hayo kwenye kipindi cha radio cha Sports Arena cha Wasafi FM.

Vital’O itawaalika Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Agosti 17, 2024 kwenye Dimba la Azam Complex, Dar es Salaam.
@bintiiringo
#WasafiSports

NB: tunaomba makolo muwape hints kidogo hawa Vital'o [emoji3063][emoji3063]View attachment 3069573
Sasa si angetoka hata kabla ya mechi maana naona kabisa kesha achia ngaz atafute kabisa mrithi wake sio kwa Yanga hii et wakulungwa au naongopea😁😁😁
 
Msemaji wa Timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti @arsene_bucuti amesema iwapo Yanga itaifunga Vital’O kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa atajiuzulu kuwa msemaji wa timu hiyo.

Bucuti ameyasema hayo kwenye kipindi cha radio cha Sports Arena cha Wasafi FM.

Vital’O itawaalika Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Agosti 17, 2024 kwenye Dimba la Azam Complex, Dar es Salaam.
@bintiiringo
#WasafiSports

NB: tunaomba makolo muwape hints kidogo hawa Vital'o [emoji3063][emoji3063]View attachment 3069573
Bila kuweka rehani mke wake Nadhiri/ahadi yake ni batili
 
Msemaji wa Timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti @arsene_bucuti amesema iwapo Yanga itaifunga Vital’O kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa atajiuzulu kuwa msemaji wa timu hiyo.

Bucuti ameyasema hayo kwenye kipindi cha radio cha Sports Arena cha Wasafi FM.

Vital’O itawaalika Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Agosti 17, 2024 kwenye Dimba la Azam Complex, Dar es Salaam.
@bintiiringo
#WasafiSports

NB: tunaomba makolo muwape hints kidogo hawa Vital'o [emoji3063][emoji3063]View attachment 3069573
Anatafuta umaarufu uyo ashajua vibe wanalolipenda wabongo
 
Msemaji wa Timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti @arsene_bucuti amesema iwapo Yanga itaifunga Vital’O kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa atajiuzulu kuwa msemaji wa timu hiyo.

Bucuti ameyasema hayo kwenye kipindi cha radio cha Sports Arena cha Wasafi FM.

Vital’O itawaalika Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Agosti 17, 2024 kwenye Dimba la Azam Complex, Dar es Salaam.
@bintiiringo
#WasafiSports

NB: tunaomba makolo muwape hints kidogo hawa Vital'o [emoji3063][emoji3063]View attachment 3069573
Angesema atatowa tako ndio ningeona yupo serious.

Yanga hesabu zao ni robo fainali wanavukaje siyo kufikiria vitimu vya mtaani kama hivi.

Au wanadhani bado kocha Mwinyi Zahera na straiker wa kutegemewa ni Ditram Nchimbi na Moringa?
 
Msemaji wa Timu ya Vital’O ya Burundi, Arsene Bucuti @arsene_bucuti amesema iwapo Yanga itaifunga Vital’O kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa atajiuzulu kuwa msemaji wa timu hiyo.

Bucuti ameyasema hayo kwenye kipindi cha radio cha Sports Arena cha Wasafi FM.

Vital’O itawaalika Yanga kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Agosti 17, 2024 kwenye Dimba la Azam Complex, Dar es Salaam.
@bintiiringo
#WasafiSports

NB: tunaomba makolo muwape hints kidogo hawa Vital'o [emoji3063][emoji3063]View attachment 3069573
Mikwara Ni sehemu ya maisha ya mpira kama ilivyo betting tu Kwa nlivyo waona yanga wanafungika vema tuu SEMA bado kupata Ile mechi YENYE ushindani tuone J moc itakuaje
 
Back
Top Bottom