njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hii tabia imekomaa kwa huyu mtuMods..mkiamua kufuta ni juu yenu ila nimeleta kama tetesi za zilipotokea pia, maana jitu lenyewe linalohusika hapa halichlewi kulialia na ku play victim**
kutoka ukurasa wa jamaa anyejiita Chaz lee huko facebook ΠΠΎΠΉΠ΄ΠΈΡΠ΅ Π½Π° Facebook
View attachment 2287997
Kesi si kashinda juzi akiwa kwa maboss wapya wanaompa kiburi? Maana sasa anamtukana mo dewji,alimpa makavu january makamba kule twitter akamuambia mama atamtumbua,dah jamaa ni untouchableHii ishu mbona ya kitambo, toka yupo kwetu msimbazi.
Ni kweli ila sidhulumu pafyumu au kutapeli magari kwa kuyakodi kufoji kadi na kuuzaNjaa inakusumbua
Manara ni mtu fulani chenga kichwani, sijui kwanini watu wanahangaika nae, akiguswa kidogo analilia ulemavu wakeKesi si kashinda juzi akiwa kwa maboss wapya wanaompa kiburi? Maana sasa anamtukana mo dewji,alimpa makavu january makamba kule twitter akamuambia mama atamtumbua,dah jamaa ni untouchable
Wacha weeee haiondoi ukweli kwamba kamtapeli shehe wa oman muulize pafyumu zillishia wapi? Hata habari za mzee tozi zikiwekwa nazo mnalia zifutwe kazi kutukana watu tu mkiambiwa ukweli ni mwendo wa kutafuta hurumaModerator kwa heshima yenu. Futeni huu uzi. Hii ni jamii forums, na siyo facebook kama anavyotaka kutuaminisha huyu mtoa mada.
Hivi hii ya Mzee Tozi ni kweli alimpelekea moto au wanamchafua tu cheupe wa watu?Wacha weeee haiondoi ukweli kwamba kamtapeli shehe wa oman muulize pafyumu zillishia wapi? Hata habari za mzee tozi zikiwekwa nazo mnalia zifutwe kazi kutukana watu tu mkiambiwa ukweli ni mwendo wa kutafuta huruma
Kakate rufaa una haki kikatibaKesi si kashinda juzi akiwa kwa maboss wapya wanaompa kiburi? Maana sasa anamtukana mo dewji,alimpa makavu january makamba kule twitter akamuambia mama atamtumbua,dah jamaa ni untouchable
Hii kesi imetolewa hukumu ya rufaa Mahakama kuu Leo baada ya hukumu ya Mahakama ya wilaya kukatiwa rufaa na matokeo kubaki kama yalivyoamriwa na Mahakama ya wilaya. Unapoleta kiumbeya umbeya Hakuna anayekuelewa. Mbona hukuileta wakati kesi inaanza mwaka 2019?Wacha weeee haiondoi ukweli kwamba kamtapeli shehe wa oman muulize pafyumu zillishia wapi? Hata habari za mzee tozi zikiwekwa nazo mnalia zifutwe kazi kutukana watu tu mkiambiwa ukweli ni mwendo wa kutafuta huruma
Hii tabia imekomaa kwa huyu mtuView attachment 2288024
Kuna matapeli wangapi ma albino?Roho zenu mbaya tu, kati ya matapeli wote mmemuona huyo tu
πππKuna matapeli wangapi ma albino?
Hii tabia imekomaa kwa huyu mtuView attachment 2288024