Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Kuna clip inasikika ambayo, msemaji wa Yanga ndugu H.Bumbuli anamporomoshea matusi makubwa na kumdhalilisha msemaji wa Simba ndugu Haji Manara!
Amesikika akimkebehi kwa kuwa alibino, na kutoa maneno ambayo kiukweli hayafai katika jamii!
Huyu Bumbuli alifanywa kitu na Manara kiasi cha kumporomoshea matusi mazito hivyo Manara..!?
Kama ni masuala ya mpira tu, hata kama ni mambo mengine, amekosea sana!
Mpira siyo uhasama, kuwa watani wa jadi siyo kutukanana na kudhalishana!
...Bumbuli, anafaa achukuliwe hatua stahiki ili iwe fundisho!
Hata na hivyo Haji Manara amekuwa mstaarabu na kusema kuwa anamsamehe kwa aliyoyafanya! Hiki alichofanya Haji ni ustaarabu lakini, hili linaweza kujitokeza tena kwa mwingine na ikawa ni mazoea kudhalilishana ama kutukanana kisa mambo ya mpira, ambao kwa kweli ni burudani kwa walio wengi!
Hiyo clip najaribu kuipandisha inagima hapa!
Naamini wapo wenye hiyo clip, ila pitia hapa utaweza kuiona!
Amesikika akimkebehi kwa kuwa alibino, na kutoa maneno ambayo kiukweli hayafai katika jamii!
Huyu Bumbuli alifanywa kitu na Manara kiasi cha kumporomoshea matusi mazito hivyo Manara..!?
Kama ni masuala ya mpira tu, hata kama ni mambo mengine, amekosea sana!
Mpira siyo uhasama, kuwa watani wa jadi siyo kutukanana na kudhalishana!
...Bumbuli, anafaa achukuliwe hatua stahiki ili iwe fundisho!
Hata na hivyo Haji Manara amekuwa mstaarabu na kusema kuwa anamsamehe kwa aliyoyafanya! Hiki alichofanya Haji ni ustaarabu lakini, hili linaweza kujitokeza tena kwa mwingine na ikawa ni mazoea kudhalilishana ama kutukanana kisa mambo ya mpira, ambao kwa kweli ni burudani kwa walio wengi!
Hiyo clip najaribu kuipandisha inagima hapa!
Naamini wapo wenye hiyo clip, ila pitia hapa utaweza kuiona!