Msemaji wa Yanga Haji Manara aufyata, amuomba radhi Rais wa TFF Wallace Karia

Binafsi kama shabiki wa Yanga SC ninashikuru kuwa ameomba msamaha ili aendelee kuwapo kwa lengo la KUKINUKISHA ZAIDI.
Wapewa dozi watakua wamenuna hili jambo la kuomba msamaha japo watajifanya wanamdhihaki haji lakini mioyoni wameumia
 
Na hili litawapa shida sana Yanga, kwasababu hawawezi kujitenga na Kauli zake..!
 
Hakuna cha msamaha wala nini.

Kamati ya nidhamu impe hukumu kali ili ajifunze kuheshimu watu

Kutukana wengine manara hakuanza leo.

Ni kitu amekuwa akikifanya karibu kila mara na ushahidi upo. Amezoea.

Miaka kumi ya yeye kutojihusisha na mpira itakuwa adhabu sahihi kwake.
 
Wangelitaka hilo Safari yenu ya kutwaa ubingwa ingewashinda mapema.

Ingewezekana. Nakubali.

Wangeanzisha kanuni mpya ambayo itaruhusu timu yeyote kuwa na zaidi ya wachezaji 13 ndani ya uwanja.

Hapo wangetuweza.

Ila tofauti na hapo, hakuna chochote wangeweza kufanikiwa
 
Ingewezekana. Nakubali.

Wangeanzisha kanuni mpya ambayo itaruhusu timu yeyote kuwa na zaidi ya wachezaji 13 ndani ya uwanja.

Hapo wangetuweza.

Ila tofauti na hapo, hakuna chochote wangeweza kufanikiwa
Umesahau mlivyojiliza miaka 4 eti mnaonewa na Simba inabebwa.
 
Msamaha hauondoi sheria na kanuni kutofanya kazi..! Vipo kwa ajili ya kufanya kazi
 
Jambo limeisha hilo......hata hiyo kamati ina njaa vilevile,Manara atapigwa faini ya milioni 10 na zitalipwa na GSM kwasababu ndio anaowafanyia kazi

Kamati ya nidhamu watagawana mpunga wao na Manara ataendelea kuwakera watu kama kawaida yake
 
Si alisema anataka kugombanishwa na viongozi wa TFF, ?
 
Umesahau mlivyojiliza miaka 4 eti mnaonewa na Simba inabebwa.

Asiye na akili ndiye aliyekuwa akilia.

Je mimi ni miongoni mwao? Bila shaka hapana. Hatukuwa vyema ndio maana hatukutwaa tuzo katika kipimdi hiko.
 
Na hili litawapa shida sana Yanga, kwasababu hawawezi kujitenga na Kauli zake..!

Ndio kwanza kamaliza mwaka akiwa Jangwani.

Kama ambavyo mliweza kumvumilia nyinyi kwa miaka 5, ndivyo Wananchi watakavyo weza kumvumilia kwa miaka 5 ijayo.
 
GSM wameishika TFF.ipo mfukoni mwao.
Ni baada ya mkutano wa leo.

Ivyo akuna cha kamati wala nn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…