Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli: Msamaha wa Metacha Mnata 'Mtandaoni' Klabu ya Yanga hatuutambui kabisa

Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli: Msamaha wa Metacha Mnata 'Mtandaoni' Klabu ya Yanga hatuutambui kabisa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
" Yaani ameacha Kutuandikia Barua kama Klabu ya Kutuomba Msamaha Yeye Kakimbilia Kuomba Msamaha Mtandaoni kana kwamba huko Mitandaoni ndiko Kumemuajiri Yeye. Naona ndiyo amezidi tu Kuharibu hivyo Sisi kama Klabu tutaendelea na Kikao chetu cha Nidhamu Kumjadili na kuja na Maamuzi juu yake "

Chanzo: Spoti Leo Radio One Stereo.

Ushauri wangu wa bure GENTAMYCINE Kwako Kipa Metacha Mnata ni kwamba kwa Maongezi ya Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli alipohojiwa na Radio One Stereo muda mfupi tu uliopita nakuomba achana na Yanga SC kwani wameshakuchoka na hawakutaki tena Klabuni Kwao.

Ukibakia Yanga SC utapatwa makubwa.
 
Yanga haiko professional kabisa. Kuiandikia Yanga ni hatua ukizingatia leo ni jmosi. Kwani kuna ubaya gani akiomba msamaha fans then j3 atafikisha barua yanga. this is a fu$%cking club of the season
 
Yanga haiko professional kabisa. Kuiandikia Yanga ni hatua ukizingatia leo ni jmosi. Kwani kuna ubaya gani akiomba msamaha fans then j3 atafikisha barua yanga. this is a fu$%cking club of the season
Simba na ujinga ni pipa na mfuniko, msemaji wa club kasema club haitambui msamaha unaoombwa kupitia sijui huko facebook. Kikubwa, pamoja na ya facebook, ahakikishe anaomba msamaha kwa club. Tena wamempa tahadhari nzuri tu. Yanga ingekuwa na viongozi wenye akili mbovu kama Simba ungesikia Metacha anaenda kupimwa akili.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Simba na ujinga ni pipa na mfuniko, msemaji wa club kasema club haitambui msamaha unaoombwa kupitia sijui huko facebook. Kikubwa, pamoja na ya facebook, ahakikishe anaomba msamaha kwa club. Tena wamempa tahadhari nzuri tu. Yanga ingekuwa na viongozi wenye akili mbovu kama Simba ungesikia Metacha anaenda kupimwa akili.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Jione ulivyomjinga sasa! Mchezaji anawatwanga Dole la Kati (akimaanisha nyote munagongwa) bado tu unafurahia na kumuona ana akili?

Ni kweli Metacha kwa kitendo kile anapaswa kupimwa akili but kwa vile nyote ni Vichaa huwezi tambua uwendawazimu alioufanya.

Sasa ungelikuwa Simba Tungempima akili Metacha pamoja na wewe uliyefurahia Dole.
 
Jione ulivyomhinga sasa! Mchezaji anawatwanga Dole la Kati (akimaanisha nyote munagongwa) bado tu unafurahia na kumuona ana akili?
Sasa ungelikuwa Simba Tungempima akili Metacha pamoja na wewe uliyefurahia Dole.
Naona hata kuandika unapata shida, kalisha hilo dela chini usome ukiwa umetulia.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Naona bado mnduku unakuwasha, ulikotoka ni kama hukusuuzwa vizuri

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Pale Nyani anapokosa hoja haya ndiyo matokeo yake! Abarikiwe Eymael kwa kuwaexpose hawa Nyani pale alipowaita "Uneducated" Mmoja wapo ni huyu Dada Peremende anaamini Matusi ndiyo yanamjengea Ujasiri na Urijali.
 
Mashabiki wa Simba wanatumia muda wao mwingi kuyajadili masuala ya timu Pinzani (Yanga) kuliko masuala yao ya msingi! Ukiwauliza kama mdhamini wao ameshaweka kwenye akaunti ya klabu zile bilioni 20 alizo ahidi, utashangaa majibu watayo yatoa!

Masuala ya Metacha Mnata na Mwajiri wake, hayahusiani kabisa na Simba! Inakuwaje mnatumia muda mwingi kujadili suala lisilo wahusu? Au ndiyo ule umbumbumbu mlioitwa na Mwenyekiti wenu Mstaafu Ismail Aden Rage unaendelea kuwasumbua?
 
Akubali yaishe tu...

Mtandaoni ameomba msamaha mashabiki na siyo uongozi wake...
 
Mbona Yanga wanapenda sana malumbano? I hate it, hebu wabakie na main business! Kila kukicha ni kusutana tu Mara TFF Mara sijui Manara, inachosha
 
Pale Nyani anapokosa hoja haya ndiyo matokeo yake! Abarikiwe Eymael kwa kuwaexpose hawa Nyani pale alipowaita "Uneducated" Mmoja wapo ni huyu Dada Peremende anaamini Matusi ndiyo yanamjengea Ujasiri na Urijali.
Upunguze tabia zako za kupapatikia wanaume, wengi wa style yako huishia kuliwa.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mashabiki wa Simba wanatumia muda wao mwingi kuyajadili masuala ya timu Pinzani (Yanga) kuliko masuala yao ya msingi! Ukiwauliza kama mdhamini wao ameshaweka kwenye akaunti ya klabu zile bilioni 20 alizo ahidi, utashangaa majibu watayo yatoa!

Masuala ya Metacha Mnata na Mwajiri wake, hayahusiani kabisa na Simba! Inakuwaje mnatumia muda mwingi kujadili suala lisilo wahusu? Au ndiyo ule umbumbumbu mlioitwa na Mwenyekiti wenu Mstaafu Ismail Aden Rage unaendelea kuwasumbua?
Daaaaaah umeonesha jinsi gani ulivyo mjinga, unawekaje hela wakati tume ya ushindani haijapitisha? Afu wakija kusitisha aje azitoe tena? Kweli nyie manyani
 
Back
Top Bottom