OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mwasibu vipi tenaMsemaji wa Singida BS Hussein Massanza tulipokutana Singida nilikwambia uache kuwasumbua watu kwamba mtaifunga Yanga. Nilikuuliza mtashindaje ikiwa mnacheza kwa maelekezo?
Sasa mpira tumeuona, njoo hapa uthibitishe maneno yangu kuwa nyinyi ni Yanga ya Mkoani. Katika kuthibitisha hilo waambie watu kiwango mlichoonyesha mechi ya Simba na hii ya dada zenu.
Aaahaaa asante kwa data hiziMATOKEO YA SINGIDA FG MSIMU HUU... NBC PREMIER LEAGUE
1. Singida 0 Tanzania prisons 0
2. Singida 0 Tabora Utd 0
3. Azam 2 Singida 1
4. Mtibwa 0 Singida 1
5. Singida 1 Simba 2
6. Namungo 2 Singida 3
7. Yanga 2 Singida 0
Kabla ya kucheza na Yanga, Singida alikua amecheza game sita.... Kwenye hizo game sita kachezea vichapo viwili toka Kwa Azam na Kolo.. huku akidroo tena uwanja wa nyumbani game mbili na timu vibonde.... Sasa angewazaje kumfunga Yanga???
Rage apewe TUZO [emoji16]
Msemaji wa Singida BS Hussein Massanza tulipokutana Singida nilikwambia uache kuwasumbua watu kwamba mtaifunga Yanga. Nilikuuliza mtashindaje ikiwa mnacheza kwa maelekezo?
Sasa mpira tumeuona, njoo hapa uthibitishe maneno yangu kuwa nyinyi ni Yanga ya Mkoani. Katika kuthibitisha hilo waambie watu kiwango mlichoonyesha mechi ya Simba na hii ya dada zenu.
AahaaaaHaya ya Singida achana nayo twende kule kwenye Uzi wa
. Kibu d vs mayele
. Kiuhasibu hasara ya azizi ki
Unahitajika ukajibu hoja za wachangiaji.
AahaaaTimu ambayo inatakiwa kufungwa na Yanga ni Simba tu, wengine wote hua wanajilegeza, wivu wa mke mkubwa huo
November 5 sio mbali muamala umethibitishwa tayariBosi alikuwepo uwanjani halafu wafungwe wakati ilikuwa tayari imethibitishwa.
ongezea na ule wa "timu lako lipo nafasi gani?"Haya ya Singida achana nayo twende kule kwenye Uzi wa
. Kibu d vs mayele
. Kiuhasibu hasara ya azizi ki
Unahitajika ukajibu hoja za wachangiaji.
Tulikutana kule mkwakwani uliishiia kupiga back pass tu na ukafa kwa matuta kiufupi yanga kumfunga simba labda robertinyo aondoke maana kila mechi amewakanda.November 5 sio mbali muamala umethibitishwa tayari
Mhasibu feki CPA Okw wa CAF.Msemaji wa Singida BS Hussein Massanza tulipokutana Singida nilikwambia uache kuwasumbua watu kwamba mtaifunga Yanga. Nilikuuliza mtashindaje ikiwa mnacheza kwa maelekezo?
Sasa mpira tumeuona, njoo hapa uthibitishe maneno yangu kuwa nyinyi ni Yanga ya Mkoani. Katika kuthibitisha hilo waambie watu kiwango mlichoonyesha mechi ya Simba na hii ya dada zenu.
Kama Simbwa ilimfunga kwa goli la tatu malogo unadhani yanga ndio ingemshindwa? Usiwe unajivua nguo kwa kulinganisha Kila kitu mhasibu utakuja kuishia pabaya!View attachment 2795575
Msemaji wa Singida BS Hussein Massanza tulipokutana Singida nilikwambia uache kuwasumbua watu kwamba mtaifunga Yanga. Nilikuuliza mtashindaje ikiwa mnacheza kwa maelekezo? Mzee wa Jambia kaiweka vizuri, ni bora muwe mnaenda tu TFF kusaini matokeo mnayokubaliana badala ya kuleta mashabiki kutazama maigizo
Sasa mpira tumeuona, njoo hapa uthibitishe maneno yangu kuwa nyinyi ni Yanga ya Mkoani. Katika kuthibitisha hilo waambie watu kiwango mlichoonyesha mechi ya Simba na hii ya dada zenu.