Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Da kiukweli Jana kuna kamsemo furani nimekasikia sikupata jibu aliyeusema alikuwa anafikiria nini wakati anausema.
Msemo wenyewe ni kwamba;
*"ukiwa unaoga na wenzako Jela...halafu sabuni ikadondoka... Achana nayo usiiokote"..*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msemo wenyewe ni kwamba;
*"ukiwa unaoga na wenzako Jela...halafu sabuni ikadondoka... Achana nayo usiiokote"..*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]