Msemo “kujiajiri“ kutoka kwa Wanasiasa ni Ushahidi tosha out of touch na Low IQ!

Msemo “kujiajiri“ kutoka kwa Wanasiasa ni Ushahidi tosha out of touch na Low IQ!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Kila siku utasikia hakuna ajira na watu wajiajiri, sasa wajiajiri ili wamuuzie nani na nini? Tanzania ni nchi masikini tena sana sasa kila mtu akijiari hiyo biashara nani atanunua na kwa kipato gani?

Kwangu mimi Mwanasiasa anayewaambia watu wajiajiri wakati per capital income ya Tanzania ni ndogo mno kuweza kusupport biashara yoyote binafsi, huyo Mwanasiasa anapaswa kuondolewa kazini.

Kazi ya Mwanasiasa ni kutengeneza mazingira yanayoweza kutengeza ajira kwa Wananchi na siyo kuwaaambia wajiajiri wajiajiri, bure kabisa na Low IQ Wanasiasa wa Tanzania.

Umeme hakuna, maji hakuna, barabara mbovu, haya hata hiyo SGR ambayo ingetegemewa kupunguza muda wa safari hakuna tena, halafu mnawaambia watu wajiajiri, how ??
 
Kila siku utasikia hakuna ajira na watu wajiajiri, sasa wajiajiri ili wamuuzie nani na nini? Tanzania ni nchi masikini tena sana sasa kila mtu akijiari hiyo biashara nani atanunua na kwa kipato gani?

Kwangu mimi Mwanasiasa anayewaambia watu wajiajiri wakati per capital income ya Tanzania ni ndogo mno kuweza kusupport biashara yoyote binafsi, huyo Mwanasiasa anapaswa kuondolewa kazini.

Kazi ya Mwanasiasa ni kutengeneza mazungira yanayoweza kutengeza ajira kwa Wananchi na siyo kuwaaambia wajiajiri wajiajiri, bure kabisa na Low IQ Wanasiasa wa Tanzania.

Umeme hakuna, maji hakuna, barabara mbovu, haya hata hiyo SGR ambayo ingetegemewa kupunguza muda wa safari hakuna tena, halafu mnawaambia watu wajiajiri, how ??
NANI wa KUMWONDOA HUYO MWANASIASA KAZINI?
 
Kila siku utasikia hakuna ajira na watu wajiajiri, sasa wajiajiri ili wamuuzie nani na nini? Tanzania ni nchi masikini tena sana sasa kila mtu akijiari hiyo biashara nani atanunua na kwa kipato gani?

Kwangu mimi Mwanasiasa anayewaambia watu wajiajiri wakati per capital income ya Tanzania ni ndogo mno kuweza kusupport biashara yoyote binafsi, huyo Mwanasiasa anapaswa kuondolewa kazini.

Kazi ya Mwanasiasa ni kutengeneza mazungira yanayoweza kutengeza ajira kwa Wananchi na siyo kuwaaambia wajiajiri wajiajiri, bure kabisa na Low IQ Wanasiasa wa Tanzania.

Umeme hakuna, maji hakuna, barabara mbovu, haya hata hiyo SGR ambayo ingetegemewa kupunguza muda wa safari hakuna tena, halafu mnawaambia watu wajiajiri, how ??
Walaghai tu hao mbona watoto wao hawajiajiri na wakiwa na Maitaji ya kutosha
 
Ipi bora akawambie ujiajiri au usubiru ajira?
 
Suala la kujiajiri ni fursa inayokujia kulingana na mazingira uliopo mwanadamu, si mtu akwambie kajiajiri. Ingekuwa kujiajiri ni rahisi sababu una mtaji, basi wanasiasa watoto wao wote wangemiliki viwanda. Kiufupi Tanzania mazingira ya kujiajiri kwa mwenye elimu kubwa bado sana, maana utawekeza kwa ubora, lakini faida nzuri na wateja bora hakuna. Uwekezaji wa Tanzania ni bado wa kizamani ( wa kidarasa la saba au bora liende). Tunaomba wanasiasa wanyamaze tu, sababu mbona graduate wamenyamaza.
 
Back
Top Bottom