Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
D mbili ni minimum pass marks. Wanamaanisha kama kidato cha nne huna D mbili basi una uwezo mdogo wa kiakili hivo hakuna jambo utaelewaWatu wanaposema "kama una D mbili" utanielewa huwa wana maana gani?
Zamani nilikuwa naona pia humu JF watu wanakomenti sana DD kwenye nyuzi pia.
D ya physics na D ya hesabuWatu wanaposema "kama huna D mbili" utanielewa huwa wana maana gani?
Zamani nilikuwa naona pia humu JF watu wanakomenti sana DD kwenye nyuzi pia.
Umenifungua machoD mbili ni minimum pass marks. Wanamaanisha kama kidato cha nne huna D mbili basi una uwezo mdogo wa kiakili hivo hakuna jambo utaelewa
Hii imetokana na matangazo ya vyuo vya kati kutaka D mbili kwa masomo yasiyo ya Dini ili kupata admission
Kwani ulikuwa huelewi mkuu aiseeUmenifungua macho
D mbili ni vyuo vya VETA na sio vya kati mkuuD mbili ni minimum pass marks. Wanamaanisha kama kidato cha nne huna D mbili basi una uwezo mdogo wa kiakili hivo hakuna jambo utaelewa
Hii imetokana na matangazo ya vyuo vya kati kutaka D mbili kwa masomo yasiyo ya Dini ili kupata admission
Amazooon college mleteee mwanaoo nafasi ni chacheee ,,,D mbili ni minimum pass marks. Wanamaanisha kama kidato cha nne huna D mbili basi una uwezo mdogo wa kiakili hivo hakuna jambo utaelewa
Hii imetokana na matangazo ya vyuo vya kati kutaka D mbili kwa masomo yasiyo ya Dini ili kupata admission
Naelewaje wakati mie mwenye DD sina🤣🤣🤣🤣.Kwani ulikuwa huelewi mkuu aisee
Kuna VI college naskia uwe na nia tuh na ada ulipe kwa awamuD mbili ni vyuo vya VETA na sio vya kati mkuu
Vya kati ni vile vya certificate na diploma ambavyo ni D nne
Zaiyooni ni chuooo chenye maadili memaAmazooon college mleteee mwanaoo nafasi ni chacheee ,,,