Mseven Anazidi kuivimbia Marekani

Mseven Anazidi kuivimbia Marekani

Mseven AKA M7. Ameamua kuitolea uvivu Marekani na kusema kwamba hawatishiki na vitisho vyao, bali sheria yao ipo palepale. Mwamba anasema kama watapewa vikwazo watafanya biashara na mataifa Mengine. Kwenye suala la misaada amesema watabana matumizi.

Marekani anahubiri Demokrasia mbona anapangiwa watu mambo anayotaka yeye?? Hii ndo maaana ya demokrasia??. Nawakumbusha Uganda sio sehem salama kwa LGBTQ kule wako serious.

GOD BLESS UGANDA [emoji1254]
GOD BLESS MSEVEN.View attachment 2645107
View attachment 2645108
Ipo hivi
Mseveni anatengenza kick
Ili aendelee kubaki madarakani na amefanikiwa hili kwa ku divert attention watu wasijadili utawala wake wa ki dikteta
 
Mshauri na dada yako Bi ushungu basi aweke nyundo Kama ya M7[emoji849]

Tanzania wanadeal nao kimya kimya tena huezi kuamini wengine wanabambikiwa kesi kabambe ilmradi wakaishi jela milele, Rais Samia kwa hapo namsifu
 
Tusimpongeze tu MSEVEN inabidi tuandae jeshi mujarabu wamarekani wakitaka kumletea utemi tu tunaingiza jeshi palee tunaenda kumtetea, wasijifanye wao ndio over the world
 
Haya nilisema museven Hana safari
Screenshot_20230604-150513.jpg


Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom