Mseven Anazidi kuivimbia Marekani

Ipo hivi
Mseveni anatengenza kick
Ili aendelee kubaki madarakani na amefanikiwa hili kwa ku divert attention watu wasijadili utawala wake wa ki dikteta
 
Mshauri na dada yako Bi ushungu basi aweke nyundo Kama ya M7[emoji849]

Tanzania wanadeal nao kimya kimya tena huezi kuamini wengine wanabambikiwa kesi kabambe ilmradi wakaishi jela milele, Rais Samia kwa hapo namsifu
 
Tusimpongeze tu MSEVEN inabidi tuandae jeshi mujarabu wamarekani wakitaka kumletea utemi tu tunaingiza jeshi palee tunaenda kumtetea, wasijifanye wao ndio over the world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…